Recent content by Nguna

  1. N

    Michapio hatari

    Show itafanyika kwenye Ukumbi wa Dhando Hall
  2. N

    Huu unyanyasaji wa wafanyakazi hasa walimu utaisha lini?

    michango ya aina gani?
  3. N

    Huu unyanyasaji wa wafanyakazi hasa walimu utaisha lini?

    Akiongea katika mkutano uliowakutanisha wakuu wa shule uliofanyika tarehe 10/07/2014 katika ofisi za halmashauri ya wilaya ya Iramba, Mkuu wa wilaya ya Iramba aliwaagiza wakuu wa shule waambie walimu kuwa wanatakiwa kulipia elfu kumi na tano (15,000) kuchangia ujenzi wa maabara katika shule za...
  4. N

    Unafiki wa Wabunge Huu hapa

    uzi huu umefanana na maelezo ya jamaa mmoja aliyekuwa kwenye kipindi cha marumbano ya hoja itv wiki hii sijui ndio yeye!! Anyway unalolisema ni sawa kwani mtandao wa majangili ndio uliosababisha mawaziri wajiuzuru.
  5. N

    Mwamvita Makamba: Bora buzi kuliko sembe

    hapo sio umeteleza bali umeanguka!!
  6. N

    Habari gani uliiona kubwa kwa mwaka 2013? (Kimataifa)

    Kifo cha aliyekuwa raisi wa kwanza mweusi Afrika kusini Nelson Mandela maarufu kama Madiba ndio habari kubwa iliyopata kutokea mwaka 2013 kuliko habari zote kwa maoni yangu. Zipo sababu kadhaa zinazonifanya niamini kwamba hii ndio habari kubwa kuliko zote. Kwanza karibu vituo vyote vya...
  7. N

    Bunge laahirishwa, Kamati ya Maliasili yawaka moto!

    mbona kawaida sana, kwani ni zito peke yake aliyeomba mwongozo?
  8. N

    ni sanaa tu

    Safi sana.
  9. N

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza auwawa na wananchi wenye hasira kali kwa kupigwa mawe

    kwani yeye hajaua? Acha uccm. Vyombo vyenyewe havitendi haki.
  10. N

    Hoja binafsi!

    umejuaje kama tumekuelewa
  11. N

    Mnyiramba;iramba magharibu...

    kwani mbadala wa Nchemba ni Kitila peke yake? Mimi naona Iramba inawatu wengi sana wenye uwezo wa kuwasaidia wanaIramba kuliko hata Kitila.
Back
Top Bottom