Akiongea katika mkutano uliowakutanisha wakuu wa shule uliofanyika tarehe 10/07/2014 katika ofisi za halmashauri ya wilaya ya Iramba, Mkuu wa wilaya ya Iramba aliwaagiza wakuu wa shule waambie walimu kuwa wanatakiwa kulipia elfu kumi na tano (15,000) kuchangia ujenzi wa maabara katika shule za...
uzi huu umefanana na maelezo ya jamaa mmoja aliyekuwa kwenye kipindi cha marumbano ya hoja itv wiki hii sijui ndio yeye!! Anyway unalolisema ni sawa kwani mtandao wa majangili ndio uliosababisha mawaziri wajiuzuru.
Kifo cha aliyekuwa raisi wa kwanza mweusi Afrika kusini Nelson Mandela maarufu kama Madiba ndio habari kubwa iliyopata kutokea mwaka 2013 kuliko habari zote kwa maoni yangu.
Zipo sababu kadhaa zinazonifanya niamini kwamba hii ndio habari kubwa kuliko zote.
Kwanza karibu vituo vyote vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.