Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Hoyeeeeeeeee!zitto hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee3ee
Hoyeeeeeeeee!zitto hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee3ee
Bunhe limeahirishwa baada ya Mbunge wa Singida Mashariki Kuomba Muongozo wa Bunge kupewa muda wa kutosha na kupata fursa ya kujadili! Zitto aliunga mkono hoja hiyo na hatimaye bunge kuairishwa na kamati ya uongozi kukaa na kulifanyia uamuzi jambo hilo.
Mkuu, wengi wameomba ila ni Zitto ndiye aliyefanikisha kushawishi kiti cha Spikambona kawaida sana, kwani ni zito peke yake aliyeomba mwongozo?
Mkuu, hata Mwanasheria wao Tundu Lisu ameshindwa kabisa kujenga hoja licha ya kutoka na mapovu huku akipepesa kichwa chake kama kawaidaunadhani mbowe angeweza kutoa hoja kama aliyotoa zitto?
Hizi thread zingine zimejaa unafiki kulikuwa na haja gani ya kuandika kuwa Zitto aliunga mkono hapa unamaanisha nini kama sio unafiki.
Dah! Mkuu, nawashangaa sana CHADEMAmtoto wa kiumeni zitto zuberi kabwe. kichwa.
Kujadili nn tena cjakupata Mkuu?
Jembe jembe jembe jembe. Nadhani watu wa Mwandiga watakuwa wanaendelea vizuri maandalizi ya sherehe yao keshoGo go go jembe. Wewe ni jiwe lililowashinda washi.
Safi sana Zitto, kumbe unaanza kujitambua