Recent content by Ngoreme

  1. Ngoreme

    “Tuwe na national ethos inayokataza mwizi kuchaguliwa mbunge"

    Kwa sasa nchini kuna jamii iliyopokea kaulimbiu za kuwa mjanja, full kujirusha, chizika, fasta-fasta na nyingine alizoita za kupumbaza, jamii ambayo mwizi wa kuku anaweza kuuawa lakini mwizi wa mali ya umma akachaguliwa kuwa mbunge, jamii hiyo haiwezi kuandaa Katiba mpya inayotarajiwa. Je hii...
  2. Ngoreme

    Nani amlaumu mwenzie na nan anamkosea mwenzie zaidi?

    kwani na wewe huwa unaacha wazi au kuvaa chupi ya utajiju kwa maandishi na yenye uvundo duh pole sana ulikuwa hujui
  3. Ngoreme

    Nani amlaumu mwenzie na nan anamkosea mwenzie zaidi?

    huyo usimlaumu ndio sawa na wale unaokutana nao wanaongea kama wamemeza tape hata ile tunayo sema from the horses mouth sio hivyo . lakini labda ni mmoja ya wanaovutiwa ka kimoja kati ya hivyo! Halafu pia waacheni wale wasiojua matumizi ya pesa waonyeshwe matumizi sasa we kusugulisha na...
  4. Ngoreme

    Ndg Asprin

    if you cant explain it simply,you dont understand it well enough
  5. Ngoreme

    Prof. Safari ajiondoa CUF; Atafakari pa kwenda!

    ni kweli sasa tufanye iwe hivi agombee kwa zamzibar
  6. Ngoreme

    Taarifa ya Kiintelijensia...Nesi huyu na Mgonjwa!

    Hii tiba mbadala au simuliteneous tiba huyo darlingtone ana jambo zuri sana la tiba mbadala aliwahi kusikia zaidi labda na kwingine atueleze tupate nasi ikitokea make iringa mbali
  7. Ngoreme

    Hawa 'under 18' tuwafanyeje?

    Tumuombe administrator atusaidie kuwa anaziondoa mada zao
  8. Ngoreme

    Prof. Tibaijuka ahamishia kibao kwenye 'beacons'

    mbona open space bado nyingi zimeingiliwa hasa ile ya pale ddc keko karibu na backery jamaa amejenga petrol station (filling station) sasa na nilisha tuma ripoti anza kazi mama
  9. Ngoreme

    CHADEMA waongeza mbunge Arusha mjini

    kuna idadi ya mwisho pia ya kupangiwa wabunge nadhani si tu kuhamisha nadhani kama sijakosea kila jimbo linatakiwa kuwa na mbuge maaalumu asiezidi mmoja na wakula mmoja
  10. Ngoreme

    Mkataba wa Umeme 600 MW Tayari

    tunahitaji umeme sio tu mikataba mikataba kila siku harafu ikianza kazi inakuwa mimba tena sasa isije kuwa richmond nyungine sasa we aseme umeme umeanza kuzalishwa hiyo ndo kiu yetu sisi mgao umenichosha kila siku natumia generator
  11. Ngoreme

    Matumizi ya simu katika Mahusiano

    mi bwana nikirudi kazini simu zote nazibwaga hapo wanabyofoa wanachoka na sms ananisomea bisha kama huamini
  12. Ngoreme

    Matumizi ya simu katika Mahusiano

    sasa kama ni pesa si zinamhusu hata na yeye na watoto au tena nini
  13. Ngoreme

    Matumizi ya simu katika Mahusiano

    wewe sasa kama unatakiwa kwenda sehemu harafu kikazi au umelala ndo sms ikaingia sasa akishasoma si anakuamsha jamani uwahi au
  14. Ngoreme

    Matukio yaliyotikisa Tanzania tokea tupate uhuru

    gharama kubwa ya chai kuliko development project
  15. Ngoreme

    Shamba linauzwa kigamboni

    unajua watu wa dar wengi wamekalili mbezi, tegeta only wilaya ya kinondoni basi wanashikwa masikio sana njooni huku karibu na the blue diamond huku mashamba au viwanja vipo vikubwa tu kwa bei poa ila baada ya miezi sita vitapanda piga simu hii 0713291013 pia karibu na mradi wa tuangoma kijichi...
Back
Top Bottom