MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 349
WanaJF kusema ukwel nimejarbu kutoa utata kwa wa2 weng ila sasa naona ninashndwa ckatai mwanamke kwenda kusuguliwa miguu na kupakwa rang na Dume na pia ckatai mwanaume kwenda kunyoa nywele na kusafishwa uso na mwanamke kila m1 yupo sahihi anasave muda ili aendelee na mambo mengne utata unakuja hapa mwanamke anapokwenda kusuguliwa miguu nguo aliovaa na ukaaji wake kama anataka kujifungua sasa hv na ndio tatzo linapotokea kama wewe umemkuta mkeo au mpenz wako anasuguliwa miguu na dume limemuinamia cjui utajisikiaje niliongea na m1 wa wafanyabiashara hii ya kusugua miguu mwenge nae alisema (wapo wadada au wanawake wanakuja wanafanya wakusud anajiacha waz ila kutokana na cc ile ni kaz bac 2nanyamaza 2uu ila 2naumiaga sana) na pia nikafanikiwa kuongea na m1 wa wafanyabiashara saloon za kiume mdada nae alisema (unajua nilazma ujionyeshe kama unavutiwa nae ili aache pesa nyng na pia unamgusishagusisha matiti au unamsugua vzur ili awe anavutika na wewe) na hapo ndipo nilipojua kuwa kwanini mwanaume na mwanamke wakienda sehemu hz pamoja huwa hawarud wanaelewana alafu pia kwanini utata upo je ni nani anaeumia zaid na nani alaumiwe?