Nanren
JF-Expert Member
- May 11, 2009
- 2,436
- 2,134
PJ, that is unethical and warranty summary dismissal plus criminal kama mgonjwa amebakwa
we should always remember that ubakaji si kwa wanaume tu, bali jinsia zote.... the nurse must be suffering some kind of psychological issues au ni mbakaji na angekua mwanaume ingekua balaa
the best move is to report her and make sure she is taken care of, otherwise kuna hatari hata ya maambukizi ya magonjwa ya zinaa na ukimwi
tukumbuke kwamba mwanaume aliyekaa wadini muda, anakua na kiu ya ajabu which may even impair him from rational thinking and protection mindset... he is vulnerable
ushauri ni kwamba huyo mtu apelekwe vyombo husika, na pia awekwe kwenye mtego
BTW, Ilembula pazuri sana... hivi kile chuo cha nursingbado kipo?
Mimi nafikiri mgonjwa karidhia, na ana-enjoy. Ndio maana wamerudia rudia bila kusumbuliwa na watu wengine. Ingekuwa ni kubakwa, mara zote hizo wanapofanya mgonjwa angepiga kelele na hata kutoa taarifa kwa manesi/waganga wa zamu, ambao naamini wanabadilishwa badilishwa. Huyo mgonjwa hajabakwa na inawezekana hata yeye mwenyewe aliomba. Of course nafikiri inamsaidia kwenye kupona kwake.