Recent content by Ngondombole

  1. Ngondombole

    Natafuta shule ya private nzuri maeneo ya Gongolamboto/Chanika

    Mkuu ulipata shule..?? Nataka nijue maana na mimi nahamia buyuni next month nahitaji shule yenye sifa kama ulizozisema. Nijibu tafadhali
  2. Ngondombole

    Nimepanga kufumania mtu leo,..

    Achana Naye...!!
  3. Ngondombole

    Mpenzi wangu ananibania sex

    Subiri Ndoa Mkuu Usiwe na Papara. Anakuhifadhia Huyo..!!
  4. Ngondombole

    Matikiti maji yanauzwa

    Hajui Biashara Huyu
  5. Ngondombole

    Nimekoma sizami chumvini tena

    You Can't eat Money sir..!!
  6. Ngondombole

    BAVICHA taifa kuna tatizo?

    BAVICHA Wahuni tu, awamu hii tulipotea sana kuchagua viongozi wa namna ile. Wapo kwa ajili ya ku enjoy mjini badala ya kufanya vitu walivyotakiwa kufanya. Suala la Ben sio la kukaa kimya. SHAME.
  7. Ngondombole

    Mtumwa wa ngono

    Weka Picha Mkuu Tuone Unavyofanyaga Hayo Makitu...
  8. Ngondombole

    CHADEMA yataka Serikali iseme kama imemkamata Ben Saanane na kama haijamkamata iseme yupo wapi

    Ina stack sana. Mwambie arekebishe Internet yake
  9. Ngondombole

    Vijana waliokua wanashinda kwenye Mdegree na Kujadili siasa Walalama kuhusu GPA ya 3.8

    Mimi nina GPA ya 2.7 ya UDSM. Nina kazi nzuri na maisha yanaenda
Back
Top Bottom