Vijana waliokua wanashinda kwenye Mdegree na Kujadili siasa Walalama kuhusu GPA ya 3.8

Duh ila huyu jamaa aliyesema tuna IQ ndogo alipatia saaaana. Yaani Unaweza kusoma andiko LA MTU unajiuliza huyu MTU ni yeye kweli au?? GPA kubwa sio kigezo cha MTU kuwa na akili au uwezo wa kufanya decision. Nakumbuka Mwaka Fulani hivi Dada mmoja alipata GPA kubwa Sana akapelekwa DUCE enzi zile ndio DUCE inaanza, kilichotokea ni muujiza hadi pale Dr. Nanihii alipomkamata. Kuwa yeye hakuwahi kutoa A sasa yeye A aliipataje?? Kumbe alikua na uhusiano na nanihii!!!! Huu ni mfano Mdogo tu
 
Kwa hiyo wale wote wilioyafanya hayo uliyoyaorodhesha wakiwa chuoni wanna GPA chini ya 3.8? na wale ambao hawakufanyanya ilioyasema wao wamepata GPA za juu zaidi ya 3.8?

Halafu unasema wewe ni msomi ambaye umetunukiwa cheti cha juu kutoka chuo kikuu ulichokitaja baada ya kuandika tafiti!?
 
Duh ila huyu jamaa aliyesema tuna IQ ndogo alipatia saaaana. Yaani Unaweza kusoma andiko LA MTU unajiuliza huyu MTU ni yeye kweli au?? GPA kubwa sio kigezo cha MTU kuwa na akili au uwezo wa kufanya decision. Nakumbuka Mwaka Fulani hivi Dada mmoja alipata GPA kubwa Sana akapelekwa DUCE enzi zile ndio DUCE inaanza, kilichotokea ni muujiza hadi pale Dr. Nanihii alipomkamata. Kuwa yeye hakuwahi kutoa A sasa yeye A aliipataje?? Kumbe alikua na uhusiano na nanihii!!!! Huu ni mfano Mdogo tu
GPA kubwa ni Kigezo na ndo vinavyotumika hata huko Harvard hata kama unatafuta tutorial huwezi kumkuta mwenye GPA ya 2.7. But mi nachukulia challenge na najua wapenda Starehe watapinga sana.
 
Duh ila huyu jamaa aliyesema tuna IQ ndogo alipatia saaaana. Yaani Unaweza kusoma andiko LA MTU unajiuliza huyu MTU ni yeye kweli au?? GPA kubwa sio kigezo cha MTU kuwa na akili au uwezo wa kufanya decision. Nakumbuka Mwaka Fulani hivi Dada mmoja alipata GPA kubwa Sana akapelekwa DUCE enzi zile ndio DUCE inaanza, kilichotokea ni muujiza hadi pale Dr. Nanihii alipomkamata. Kuwa yeye hakuwahi kutoa A sasa yeye A aliipataje?? Kumbe alikua na uhusiano na nanihii!!!! Huu ni mfano Mdogo tu
points......
 
Wakuu Mimi ni Kijana niliyehitimu Chuo Kikuu Miaka ya Nyuma na Nimepongeza Hatua iliyofanywa na Serikali ya Kutetea wanyonge hasa kuweka GPA ya 3.8

Kumekua na Ongezeko la Vijana kufanya starehe wawapo vyuoni na kutumia mda vibaya kwa kuifanya elimu kama partime ikiwa ni pamoja na kushinda Hostel , Kwenye Midegree, wakijadili Sijui Kibatala ni Wakili Msomi, Kumbi za Starehe, Fukwe za Bahari/ziwa kwa maisha haya lazima uone GPA ya 3.8 ngumu.

Baadhi ya wahuni wanasema eti GPA ya 3.8 ya UDM siyo Sawa na SAUT Nimesoma UDSM Mimi nilipata GPA zaidi ya Hiyo na Marafiki zangu walipata hizo we never took studies as a partime issue. Ni msemo ambao wavivu wamekua wakijifariji kuongea mbele ya Jamii najua Lower Second, Pass zipo kwenye Vyuo ambavyo ni tofauti na UDSM.

Nawaasa Vijana mlioko Vyuoni bado hamjachelewa kuleta tofauti Mimi ninachokumbuka Sijawahi kuwa Facebook, Jamii Forums, Wheelpool Forums, Nairaland Forums Mimi Library ndo ilikua Girlfriend wangu! Ila Vijana kwa sasa mna

Facebook
Jamii Forums
Instagram
Twitter
Badoo
Pokeman GO
Snap Chat
WhatsApp
Telegram


Bado una site za Kuangalia Video za Ngono na Dirty chat yaani mna mitego mingi sana

Hivyo vyote Mtu anatumia utapataje GPA ya 3.8 it's a riddle to cranch.

Tutumie mda vizuri GPA ya 3.8 itapatikana tuu!
Wewe umesoma udsm.. Pale unafananishaje na mkwawa ungekuja uone nyie pale hakuna kitu.. Usifananishe udsm na muce na duce
 
we ulieandka huu uzi hujafikiriaa mara mbili....kwa taharifa yako gpa znatofautianaa.....kasome electrical engineeeing dit....hlf ukasome na ATC ndo utakapojua kua gpa ya chuo fulan ina quality kuliko ya chuo fulan.....ukitaka iwe km unavosema ww hvo inabd vyuo viache kujitegemea km ni mitihani ifanywe saw
a kwa vyuo vyote...otherwise acha watu walalamike...kuna vyuo vina ugumu kwl kwl sio wa masomo tuu ugumu (ucomplicator ) wa walimu ndio uwa unaangusha wasomi
 
Wakuu Mimi ni Kijana niliyehitimu Chuo Kikuu Miaka ya Nyuma na Nimepongeza Hatua iliyofanywa na Serikali ya Kutetea wanyonge hasa kuweka GPA ya 3.8

Kumekua na Ongezeko la Vijana kufanya starehe wawapo vyuoni na kutumia mda vibaya kwa kuifanya elimu kama partime ikiwa ni pamoja na kushinda Hostel , Kwenye Midegree, wakijadili Sijui Kibatala ni Wakili Msomi, Kumbi za Starehe, Fukwe za Bahari/ziwa kwa maisha haya lazima uone GPA ya 3.8 ngumu.

Baadhi ya wahuni wanasema eti GPA ya 3.8 ya UDM siyo Sawa na SAUT Nimesoma UDSM Mimi nilipata GPA zaidi ya Hiyo na Marafiki zangu walipata hizo we never took studies as a partime issue. Ni msemo ambao wavivu wamekua wakijifariji kuongea mbele ya Jamii najua Lower Second, Pass zipo kwenye Vyuo ambavyo ni tofauti na UDSM.

Nawaasa Vijana mlioko Vyuoni bado hamjachelewa kuleta tofauti Mimi ninachokumbuka Sijawahi kuwa Facebook, Jamii Forums, Wheelpool Forums, Nairaland Forums Mimi Library ndo ilikua Girlfriend wangu! Ila Vijana kwa sasa mna

Facebook
Jamii Forums
Instagram
Twitter
Badoo
Pokeman GO
Snap Chat
WhatsApp
Telegram


Bado una site za Kuangalia Video za Ngono na Dirty chat yaani mna mitego mingi sana

Hivyo vyote Mtu anatumia utapataje GPA ya 3.8 it's a riddle to cranch.

Tutumie mda vizuri GPA ya 3.8 itapatikana tuu!
GPA ya 3.8 imefanyaje mbona hueleweki mkuu? Yaani umeandika lakini habari kamili huisemi
Mwanzo umeanza vizuri kabla hujamaliza kuelezea nikuelewe umerukia kuwalaumu vijana mara wanashinda mitandaoni etc
Hebu nieleweshe hyo GPA imefanyaje?
 
1972376_853389748008778_1547228724_n.jpg
 
Back
Top Bottom