tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,405
- 1,181
Mshkuru MUNGU maana anakuokoa na uzinzi
Mkuu kwa zama hizi inatakiwa wasikilizane wote tu, kijana yupo teyari kwa ndoa so ni uyo mwenzake sasa amuamini na waianze safari taratibuMsikilize na uheshimu maamuzi yake na hiyo itakufanya ufikirie ndoa haraka, si uko mwaka wa tatu? Mshahara wako wa kwanza peleka posa kwao.
Kufukuzia
2013 - Form v
2013 - Form 3
Kukubaliwa
2015
Status: Uhusiano unaendelea, ila no kudinya
2017 - Mwaka wa 3
2017 - Mwaka wa 1
Next: 2019 Ndoa, ndo upewe tunda.
aaah it hurts dah ..kumuacha dah ni ngumu sanaAchana naye mimi hiyo issue ishanikutaga huyo anatembea na pendeje ukigundua utaumia sana achana naye mapema
ahahahahaha brazaaHapo sasa wanajifanya wana mahaba kwel kumbe hamna kitu mwakan atakuja na thread hapa aliniambia mpka ndoa kumbe amensalit naomba ushaur
Nan atamshaur hapo
Mpe ushaur kijana kabla hajaja kulia lia hapa ndio matatzo ya kuskip jando
Hiyo ni akiba tunaweka pembeni.
Tunachangamkia fursa zingine.
Halafu mwanamke usipomsumbua kwa muda mrefu kuhusu kapapuchi ujue anastuka anaanza kukulazimishia mwenyewe.
Endelea kuomba papuchi ukiwa mbali wenzio walio karibu wanabutua.. nenda uone kama utapigwa kalendanop sio kwenye simu... mm nasoma mzumbe moro..yeye UDSM .. ni ishu ya makubaliano tu either yy aje moro au mm niend dar
very simpo
saiv bado kaka... at least nimalize chuo na niwe nimejipanga kimaisha ..ndipo ntaenda kuonekana kwaoKama unampenda fika kwao Fanya yatakiwayo kisha oa ujinafasi suala la wengne wanado anajua mwenyewe au utakuja jionea
ahahahaaKama hujazoea kufanya ule mchezo huwezi kuumiss.
ShwaiinHawajui unaisusa kama hutak vile unaomba akikataa unasema poa kumbe unaenda kwa mwengne shuhul imeisha
Akija kwako anakuona muaminufu kwel umeweza kuvumilia kumbe long time ushafanya yako
Mwache asomeshwe namba, mwaka wa 3 bado hujielewi?
tatizo akigundua kuwa nachepuka ataumia sana... na nadhan ataniacha..na nnampenda sana (in fact hajaonesha anything suspicious mpaka sasa anaonesha mapenzi fresh tyu)..tatzo ni sex tu
mawazo ya ku cheat huwa yananijia na zali kibao napataga..but nkitaka ku act nafsi huwa ina nisuta sana
Habari za jioni wanajamvi
mimi ni kijana wa kiume, miaka 24..nina mpenzi wangu ninampenda sana.. nilianza kumfukuzia tangu nipo kidato cha 5 mwaka 2013 yeye akiwa kidato cha 3..akanikubalia 2015... na huu ni mwaka wa 2 tupo katika uhusiano rasmi..kwa sasa nipo chuo kikuu mwaka wa 3 na yeye ni mwaka wa 1..tunasoma vyuo tofauti..!
kinachonitatiza ni kwamba kila nikitaka sex amekua mgumu.. hataki, anasema nisubiri mpaka tuoane.. na hajawah ku date na mtu yeyote previously, mimi ndie first love!
kwa wataalamu wa haya mambo, mnanishauri nifanyeje? nisubiri mpaka ndoa? maana napata shida sana (nadhan wanaume mnanielewa nnachomaanisha).. na je ni kweli huyu binti anamaanisha au kuna wahuni wanamgonga huko?
NB: NAOMBA USHAURI WA KUJENGA SIO KEJELI
Tatzo kutwa kwenye laptop wanaangalia series Za kikorea wanategema nn ngoja wakubwa zake tukamsaidie
Amesema mchumba wake yuko chuo gan vile
Dah.... Mbona kawaida sana....hujawahi kuona mwanaume anakula gengeni?Kumbe kuna wanaodatiwa special kupast time?
Bonge la ushauri ya nini kutesana nimekuelew japokuwa mada hainihusuSikilza wewe sawa tafuta mwengne unaeweza kumla huyo muandae kwa ajili ya ndoa
Ukifika muda ukikuta hola rohoo haitauma sana
ahahahahaha brazaa
asee noma sana..mbona unamdanganya mtoa mada? hiv nyie wanawake mna nini? kwanza kitendo cha mtoa mada kumfukuzia huyo demu for 2 years ni dalili tosha kuwa huyo demu hana mapenzi ya dhati kwa mtoa mada, yani kamweka mtoa mada kama spare tyre ndo maana hata kumpa sex inakuwa vigumu, huyo dem bila shaka kuna mwanaume mwingine anamkaza huko nje, au kuna mwanaume anaependwa na huyo demu, akitokea in the picture mtoa mada anapigwa chini Sky Eclat mutu murefu