Aisee wewe jamaa ni muongo sana. Mimi ni mtumishi Wa umma, pamoja na wenzangu tunamkubali sana MG kwa sababu siku hizi hakuna miungu watu makazini. Ukileta zako tunakureport na wanyamwezi wanakufuatilia hadi unyooke...!!! Sasa hivi maadili makazini yako sana na ule unyerere unaanza kurudi sasa...
Sasa mkuu umekwisha ambiwa kuwa mtoto si wako sasa unataka ushauri wa nini. Ushauri mwombe uliyezaa naye na wala siyo sisi. Hujazaa na wana JF wewe umezaa na huyu mwanamke. Muombe yeye ushauri mkuu....!!
Nenda kaoshe kirungu uwezavyo tena peku peku...!!! Osha na wapenzi wengi zeni ukapime ngoma uone kama haitajibu...!!! Jipe imani tu kuwa group o+ ngoma no...!! Hahahahaaaaaaa..!!!
Mimi ni mkristo nina mfumo jike, Nawapenda sana ndugu zangu wa kiume. Sema ni vigumu nibaki na wewe tuuu eti nisikutafutie mpinzani wako..!!! Hapo nitakuwa sichochei maendeleo ya ndani. Ni lazima niwe na mwingine nje ili ufanye bidii ya kuniridhisha zaidi nikupe namba one. Lakini pia ungeweka...
Haya unayoyasema ni kama unawazungumzia watu wasiojitambûa. Lakini mashabiki wote wana akili timamu na wanajua kuwa kufanya vurugu ni kosa la jinai.,,!!! Hawa wote ni wahuni tu na wanatakiwa kuadhibiwa vikali. Taratibu zote wanazijua sema ni ujinga tu basi. Zuia pesa Serikali, Piga wao faini...
Kuna shida gani mimi nikaamini kwa namna yangu na wewe ya kwako. Ni kwa vipi wewe unilazimishe niamini unachokiamini wewe..???? Kama wewe huamini hivyo mbona ni vizuri ukabaki katika msimamo wako..??? Imani yako isikufanye ukereke uonapo mwingine haamini unayoamini wewe....!!!! Amini li vyako...
Hoja ya msingi iko pale pale kwamba wezi hawawajibiki na haki za binadamu...!!?? Unamtaka Mhe Rais aheshimu haki za binadamu, wezi nao waziheshimu haki za nani...!!!?? Rais yuko sahihi kabisa. Hawa watu wa haki za binadamu wamejaa maneno yasiyo na mashiko....!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.