Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,860
Afadhali mimi sina group [emoji23][emoji23][emoji23]
ungekuwa na 0-RH ukampata demu mwenye hilo hilo group hamuezi kuzaa hata mfanyaje.labda kwa maombi
Afadhali mimi sina group [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1]Hayo ni magrupu ya wasap na mm niunge 0678007008
Hapa napo umechemka. Mme na Mke wote wakiwa negative hakuna tatizo lolote watazaa fresh. Ila Mke akiwa negative na mme postiv ndo tatizo lakin tatzo lenyew kuna suluhisho nalo ni kuchoma sindano ya ant D,Hujaelewa somo, mke akiwa - ve na mme naye -ve ndio tatizo. Sasa wewe - ve na mmeo + ve huoni kama Kuna tofauti kwenye Rh factor?? Group O hasa +ve ndio kindi la damu lililo ngangari kwa kujikinga na magonjwa na hata vvu hufanya kazi ya ziada kushambulia kundi hili. Mtu mwenye group hili akipata vvu havimsumbui na akikuambukiza mwenye group jingine kama A, B au AB lazima muondoke ila yeye atakuwepo. Mara nyingi hawa huwa hujulikana kama carrier
Mi pia ni gropu langu ila sijawahi kuumwa ugonjwa wowote zaidi ya malaria!!Mie ndio grupu langu ila mbona Malaria inanipiga mara kwa mara?[emoji52] [emoji52]
Mara ya mwisho kwangu kusumbuliwa na malaria ilikuwa mwaka 2010, miaka mingine nimesumbuliwa sana na magonjwa yanayohusu tumbo tu. Mimi nina O+ pia.Mi pia ni gropu langu ila sijawahi kuumwa ugonjwa wowote zaidi ya malaria!!
Ndio nashangaa maana malaria hainiondoki, lakini magonjwa mengine nikipima sinaMi pia ni gropu langu ila sijawahi kuumwa ugonjwa wowote zaidi ya malaria!!
Ukiwa na group 0+ ukimwi sio rahisi kukupata
Nina O+ve mke O-ve hapo je uzazi inakuwaje,?Ukiwa na group 0+ ukimwi sio rahisi kukupata
Acha uongo ww mbna mm nina negative na nina watoto na mme ni postive usiwe mpotoshaj km huna uelewa na unachoongea, Elimu Elimu Elimu
Siku gonjwa likikumata, hata flu haurudi...!Nashukuru mungu,, kwani nami nina aina ya kundi hilo LA damu, yaan O+. Ukweli nina muda mrfu kutokuwa na matatizo ya kiafya.
Nenda kaloweke ilo dudu lako kwa mtu mwenye HIV hapo ndipo utajua ya kuwa wale jamaa hawana mchezo... Coz utaishiwa kuvishwa nepi kama mtoto mchangaUkiwa na group 0+ ukimwi sio rahisi kukupata
asanteni wana jamvi wote kwa ushauri mlionipa, kweli kuhusu kuumwa mimi homa azinipati sana, huwa nakaa sana bila ya kuumwa chochote, ila kwa hilo la kutoambukizwa "MDUDU WA KARNE" HIV eti kwa sababu ya group 0+ hilo suala mimi siliafiki maana hawa wadudu hawapendagi ujinga, tuwe makini jamani.
Nasikia watu wenye O- ndio wenye hii sifa ya kutoambukizwa HIV kwa urahisi, na hii taarifa nilipewa na mdau mmoja ambaye group lake ni O-.O- ndo ina kinga zaidi kuliko o+,na mwenye o- hashambuliwi na maradhi,mm Nina o neg sijawah kuugua homa yoyote tangu nizaliwe na sasa nakaribia 40,
ungekuwa na 0-RH ukampata demu mwenye hilo hilo group hamuezi kuzaa hata mfanyaje.labda kwa maombi