Dah! Mwana sana jamaa ulikua humkosi maisha club ile ya masaki enzi zile kwa wale wazee wa bunyero bunyero.. nadhali alikua pale kama manager... tangulia kamanda
Afu wazee mnazingua big time.. hapa nimetoka hapo kwenu nimejibiwa na huyo dada mweupe mafundi watakuja kuinua nguzo imeangukia ukuta sina umeme toka ile mvua ya juzi hamna anaekuja wala kujitikisa.. taarifa mnazo hapa kwenye matope kama unaenda gree acres
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.