Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,753
- 16,743
Mkuu usijali ndiyo zetu kupita wrong side mkiweza mtuue ili tukomeDah. Na kuna ile tabia ya wanajeshi kupita wrong side kisa foleni kuna siku wataua wananchi wasio na hatia.
Mkuu usijali ndiyo zetu kupita wrong side mkiweza mtuue ili tukomeDah. Na kuna ile tabia ya wanajeshi kupita wrong side kisa foleni kuna siku wataua wananchi wasio na hatia.
nami nitanunua vieite niweke king'ora na bendera ya Yanga nisikwame kwenye foleni kama nyie.Mkuu usijali ndiyo zetu kupita wrong side mkiweza mtuue ili tukome
Mtu kama huyo kwa nini unamkwepa? Kama yeye hajali maisha na aje ajibamize uso kwa uso.Utanuaji wa magari ya Serikali sasa yameanza kusababisha maafa.
Leo jioni gari Kilimo Kwanza la Jaji mmoja, pale Mwenge limesababisa ajali na kupelekea daladala lililouwa linamkwepa huyo mkubwa kugonga wajenzi wa barabara Mwenge-Morocco.
Vijana kadhaa wajenzi wamegongwa na kukimbizwa Muhimbili.
Hali zao haijulikani.
Serikali inalifumbia macho tatizo la madereva wake.
Wananchi twafwa!
Heshima ni kitu cha bure, ukijiheshimu, ukaheshimu wengine, na wewe utaheshimiwa.Nikitafakari yanayomtokea Trump leo hii, madaraka ni koti la kisenge sana mamamae!
Tena angelipwa mpya! Chezea sharubu za simba weye?Asingemkwepa angeivaa tu hiyo gari ya J
Kuliko kuwaparamia wajenzi hao
Ova
Daaa!! ingekuwa ugali mtamu ni ule wenye mboga saba mezani, basi Mbeya ingefaidika sana.Ndo raha ya nchi kuwa na wabunge sare sare maua, acha tuhamishie hii barabara ya Morocco nayo chato, ikiwezekana hata Ubungo exchange tuihamishie chatto
Wazee wa chatoIliniuma sana, nilikuwa 10m away na yule wa VX V8 aliyetanua sikuona hata akijali, aliondoka. WTF wenye madaraka wanayatumia vibaya hivyo? Hakufa mtu?
Mungu mkubwa!Iliniuma sana, nilikuwa 10m away na yule wa VX V8 aliyetanua sikuona hata akijali, aliondoka. WTF wenye madaraka wanayatumia vibaya hivyo? Hakufa mtu?
Kwanini hao hawakukimbizwa Ligalo Hospital ambapo ndo karibu na kupelekwa Muhimbili?? Tufanyie utafiti na hilo piaMungu mkubwa!
Hakuna aliyepoteza maisha lakini wafanyakazi wa ujenzi JF tumefuatilia kupitia wa waliokuwepo, kuna waliovunjika miguu na kuna waliopondwa vifua na hata wengine kujeruhiwa mwilini.
Hata abiria kwenye basi kuna walioumia.
Ukivunjika mguu ukienda Lugalo nao wanakurefer Muhimbili Emergency.Kwanini hao hawakukimbizwa Ligalo Hospital ambapo ndo karibu na kupelekwa Muhimbili?? Tufanyie utafiti na hilo pia
Huyo Jaji namba 66 ni nani?Utanuaji wa magari ya Serikali sasa yameanza kusababisha maafa.
Wananchi twafwa!
UPDATE
=======
Gari ya Jaji iliyosababisha ajali ni J66.
Hapo sasa mpaka uende polisi.Huyo Jaji namba 66 ni nani?
Huyo Jaji aliyesababisha ajali tutatafuta jina na kuliweka hapa.
Its criminal!
Itakuwa vyema sana, no. 66Huyo Jaji aliyesababisha ajali tutatafuta jina na kuliweka hapa.
Its criminal!
Uzi bila kapicha tu naona kama ni fix tu
Serious allegations against a Judge.Utanuaji wa magari ya Serikali sasa yameanza kusababisha maafa.
Leo jioni gari Kilimo Kwanza la Jaji mmoja, pale Mwenge limesababisa ajali na kupelekea daladala lililouwa linamkwepa huyo mkubwa kugonga wajenzi wa barabara Mwenge-Morocco.
Vijana kadhaa wajenzi wamegongwa na kukimbizwa Muhimbili.
Hali zao haijulikani.
Serikali inalifumbia macho tatizo la madereva wake.
Wananchi twafwa!
UPDATE
=======
Gari ya Jaji iliyosababisha ajali ni J66.