Recent content by Ngalamas

  1. Ngalamas

    Natafuta kazi yoyote halali, huku mtaani sio poa

    Niunganishe hii mkuu, 0621004002
  2. Ngalamas

    Sijawahi 'perform poor' kiasi hiki mpaka wife ameshangaa

    Ukiamka adubu piga push up kama 100, squart 100, ruka kichura chura baada ya hapo kaoge maji ya barid , ukitoka kwa bafu chemsha maji kiasi tia tangawiz, mdalasin pamoja na kijiko kimoja cha asali mbichi , kunywa huo mchanganyiko ukiwa wa motomoto, nenda mishe zako , mchana baada ya kula kumbuka...
  3. Ngalamas

    Chakula gani ulikula mara moja na kwa mara ya kwanza hadi leo hutaki tena kukila?

    Hahahaha , ata mm hawa wadudu wapite kushoto aisee
  4. Ngalamas

    Mboga zangu 5 simple nizipendazo kulia chakula (hasa ugali) na Jinsi ninavyoziandaa

    Utakuwa una mke mkuu , huo mda wa kuandaa mavitu yote hayo unautoa wapi na stress za maisha hizi , mm mama ntilie watanikoma hadi nioe ndo napunguza safari za kwenda kula kwa mama hawa
  5. Ngalamas

    Uzi wa vyakula tu

    Dah hii kitu naikubali sana
  6. Ngalamas

    Msanii gani mkali unadhani hapewi nafasi?

    Sura nazo znachangia
  7. Ngalamas

    Wapi yanalimwa maharage ya njano?

    Iringa wilaya ya kilolo kama yote ata ukienda na lori 10 znajaa
  8. Ngalamas

    Je, 500,000 inatosha kuanzisha ufugaji wa mbuzi wa kienyeji?

    Kijijin iyo pesa unapata mbuz 17-20 uhakika
  9. Ngalamas

    Maisha magumu mpaka nataka kuwa mshirikina

    Sisi sote ni washirikina , lakin sio wote wachawi
  10. Ngalamas

    Nililoliona na Kushtushwa na hili ni mimi peke yangu au? Kuna nini kilikuwa Kimejificha au hakikuwa sawa?

    Ngozi zetu hizi nyeusi tabu sana , mwenyezi Mungu atupe kile tunachostahili[emoji120]
  11. Ngalamas

    Leo naweka 'Utani' wangu pembeni kabisa na naomba wana Simba SC Wenzangu 'Mnisamehe' ila kwa huyu Michael Sarpong Kazi ipo Kwetu na Tuisila abadilike

    Yanga ni ile ile tu haijabadilika Wala nn hawana wachezaj wenye uwezo binafsi na akili ya ziada subiri waende mikoa kweny viwanja vya chandimu ndo utajua kuwa hakuna wachezaj pale yanga Kuna mabondia tu
  12. Ngalamas

    Ontario ameshindwa Twitter, kuna wajanja wengi sana kule

    Online marketing ni betting tu odds 2 au 3 unatia mkwanja mrefu huwez pata loss Kama za forex amin nawambia mi forex wamekula lak tano tu nikakimbia ata password ya a/c yangu siikumbuk kwa sasa
  13. Ngalamas

    Uwezekano wa Magufuli kuongoza nchi kwa kipindi cha pili haupo

    Mtoa post naomba unipe sifa tano za kiongozi bora ili tujue Kati ya lisu na magufuli nani tumpe kura oct 28/2020 Nasubir majibu
Back
Top Bottom