Ukiamka adubu piga push up kama 100, squart 100, ruka kichura chura baada ya hapo kaoge maji ya barid , ukitoka kwa bafu chemsha maji kiasi tia tangawiz, mdalasin pamoja na kijiko kimoja cha asali mbichi , kunywa huo mchanganyiko ukiwa wa motomoto, nenda mishe zako , mchana baada ya kula kumbuka...
Utakuwa una mke mkuu , huo mda wa kuandaa mavitu yote hayo unautoa wapi na stress za maisha hizi , mm mama ntilie watanikoma hadi nioe ndo napunguza safari za kwenda kula kwa mama hawa
Yanga ni ile ile tu haijabadilika Wala nn hawana wachezaj wenye uwezo binafsi na akili ya ziada subiri waende mikoa kweny viwanja vya chandimu ndo utajua kuwa hakuna wachezaj pale yanga Kuna mabondia tu
Online marketing ni betting tu odds 2 au 3 unatia mkwanja mrefu huwez pata loss Kama za forex amin nawambia mi forex wamekula lak tano tu nikakimbia ata password ya a/c yangu siikumbuk kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.