Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 8,848
- 15,252
Kweli nimeamini Wanaume wa ukweli walishaishaMazingira ya uandaaji chapati ndio yanawafanya wengi kuona zina kipengele na zoezi,Tafuta sehemu level ya kusimama meza iwe level ya chini kdg ya kiuno chako andaa vifaa vyako chukua unga anza kuchanganya kanda Mbona simple sana unafanya kazoezi flani kama unafua tu nguo (raha sana)
uwe tu na muda usiwe na haraka na ufanye ukiwa unapenda unachokifanya,utatoa chapati laini zakumimina zinasubiri,chapati ni chakula kinachohitaji muandaaji usiwe na haraka na utulize mawazo wakati wakuandaa unga na kuweka vi taste taste ktk unga unaokanda,kama una Muda oooh chapati ni moja ya vyakula vitamu sijapata ONA tena za kusukuma (laini) mama weeeee...