Recent content by Ngai Moko

  1. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Sheikh Kandauma: 2030 kutakuwa na Ramadhani mbili , Ila ni dalili ya Kiyama

    Kwanza hiyo ni Media gani? Media za uchwara huwa na habari uchwara
  2. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Hili suala la wanawake kusaka hela ya mchezo ya kuchangishana ni Tatizo sana

    Haina haja ya kuwaua, mtakufa kwa UTI pro plus
  3. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Uchumi: Kama una chanzo kimoja cha mapato wewe ni maskini full stop

    Kama umeandika iwe maudhui sawa ila kama umemaanisha ni vyema ungesema upo wapi na una vyanzo vingapi vya uchumi ili tuhamasike na uyasemayo, vinginevyo nchi yako itabaki kuwa masikini wewe na wananchi wengine
  4. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Hivi bado mnatumia Kikuu kuagiza bidhaa?

    Kikuu wapo sawa tu, kwa zile bei zao na bado mtu hasomi maelezo mwishowe mtu anatoa milio, ila binafsi sijawahi kutana na kadhia yeyote ile na huwa naagiza, NB: Bidhaa nzuri ina gharama
  5. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Natongozwa sana kazini, halafu ni walionizidi umri

    Baaaaaaaaaaaaaas kuna nini tena!!!
  6. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Toyota Rush. Moja ya gari pendwa sana kwa baadhi ya watu ni kiwemo mimi

    Nilijua ni Li Prado, kumbe ka Prado
  7. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wote wafanyabiashara ya mazao njooni Mpanda kapanga (Mwese)

    Wewe una biashara ngapi unazozifanya?
  8. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Ally Hapi: Heche amekuwa mbunge Tarime lakini hajaacha alama yoyote

    Kuwa mbunge tu ni alama tosha,
  9. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    Ume-copy wapi hii habari!!!
  10. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Trump ndio anaomba mazungumzo sio Iran

    Hat Hata wewe unaweza kuwafuta usisubiri uwe Trump
  11. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    Itakua umezaliwa leo
  12. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Tuache kuuziwa ujinga na vitabu vya dini za kimapokeo

    Kuna watu wenye nguvu za kifedha na jeshi wanachuki na hiyo dini ila hawana la kufanya, wametumia kila namna kudhoofisha ila kuna kitabu kinasema hawataweza na kweli hawawezi. Hata wewe kwa chuki zako hautaweza zaidi utaishia kuandika chuki zako na utakufa kama kitabu kilivyosema,
  13. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Tuache kuuziwa ujinga na vitabu vya dini za kimapokeo

    Saudi Arabia na Iran ulikuwa sehemu? Au ulifika kwa Google maps?
  14. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Hence proved. Mbeya ni kijiji kikubwa

    Siku hizi bondeni siyo Chunya tena, Mto Songwe unamwaga maji Ziwa Rukwa
Back
Top Bottom