Kuna watu wenye nguvu za kifedha na jeshi wanachuki na hiyo dini ila hawana la kufanya, wametumia kila namna kudhoofisha ila kuna kitabu kinasema hawataweza na kweli hawawezi.
Hata wewe kwa chuki zako hautaweza zaidi utaishia kuandika chuki zako na utakufa kama kitabu kilivyosema,
Masikini hawezi kuwa na mawazo ya tajiri lazima awaze ndani ya uwezo wake, hivi mimi ninaishi nyumba ya kupanga hayo mawazo ya kumiliki helicopter ya nini mimi? Ninachowaza ni kumiliki kiwanja Kisemvule na siyo Mbweni
Kuna baadhi ya gari mtumiaji anapaswa kuwa shabiki (mpenzi) kindakindaki wa kampuni hiyo, ananunua hategemei resale value bali akiimiliki anapata moyo unataka, hakuna mahali kuna makosa kwenye Outlander ni gari nzuri sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.