Recent content by Ngai Moko

  1. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Iran na Mlango bahari wa Hormuz waanza kutepeta

    Ume-copy wapi hii habari!!!
  2. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Trump ndio anaomba mazungumzo sio Iran

    Hat Hata wewe unaweza kuwafuta usisubiri uwe Trump
  3. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    Itakua umezaliwa leo
  4. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Tuache kuuziwa ujinga na vitabu vya dini za kimapokeo

    Kuna watu wenye nguvu za kifedha na jeshi wanachuki na hiyo dini ila hawana la kufanya, wametumia kila namna kudhoofisha ila kuna kitabu kinasema hawataweza na kweli hawawezi. Hata wewe kwa chuki zako hautaweza zaidi utaishia kuandika chuki zako na utakufa kama kitabu kilivyosema,
  5. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Tuache kuuziwa ujinga na vitabu vya dini za kimapokeo

    Saudi Arabia na Iran ulikuwa sehemu? Au ulifika kwa Google maps?
  6. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Hence proved. Mbeya ni kijiji kikubwa

    Siku hizi bondeni siyo Chunya tena, Mto Songwe unamwaga maji Ziwa Rukwa
  7. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto: Sasa kuna Uchaguzi, chaguo ni CCM iliyoshindwa kwa Miaka 60 au ACT ya mabadiliko

    Hii safi, Mpina atashindwa kwa kishindo
  8. Ngai Moko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Vijana tukishajipata tunajisahau sana,
  9. Ngai Moko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Ndiyo, kwa hiyo unatakaje?
  10. Ngai Moko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Nikuulize ili iweje? Nipo hapa kusoma uzi wa insider na ntamuuliza mtoa uzi siyo wewe, usijipe umuhimu
  11. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Yani haya mambo ya ngono kuleta mikosi utayasikia tu kwa sisi mafukara

    Masikini hawezi kuwa na mawazo ya tajiri lazima awaze ndani ya uwezo wake, hivi mimi ninaishi nyumba ya kupanga hayo mawazo ya kumiliki helicopter ya nini mimi? Ninachowaza ni kumiliki kiwanja Kisemvule na siyo Mbweni
  12. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Yani haya mambo ya ngono kuleta mikosi utayasikia tu kwa sisi mafukara

    Ndiyo na ni kweli NGONO inaleta MIKOSI, ilitakiwa ujue maana ya mkosi kwanza
  13. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Mitsubishi outlander, Subaru Forester au Harrier nichukue lipi?

    So what's good advice from you!!!
  14. Ngai Moko

    JamiiForums Tanzania Mitsubishi outlander, Subaru Forester au Harrier nichukue lipi?

    Kuna baadhi ya gari mtumiaji anapaswa kuwa shabiki (mpenzi) kindakindaki wa kampuni hiyo, ananunua hategemei resale value bali akiimiliki anapata moyo unataka, hakuna mahali kuna makosa kwenye Outlander ni gari nzuri sana
  15. Ngai Moko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ujio wa Mama Mkwe - Sasa twazila Hela za Wife

    Mara tutafute hela mara hela inategwa, unatafutaje hela?
Back
Top Bottom