Sadolin Paints ni jipu jingine,Mbaya zaidi kuna vibarua wana miaka hadi 8 hawajawa recruited hadi leo yani huwa inaniuma sana akija Muhindi ni faster.Wana mtu wao Immigration uyo ndio huwa anawafanyia michakato yote ya jinsi ya kufanya kazi hapa mwisho wa mwezi ukifika anapewa bahasha nono jamaa...
Waende na Sadolin Paints iko Tazara pale kuna jamaa anajiita Commerciak Manager wakati anafanya kazi zote za uhasibu ambazo hata mtu wa Certificate ya uhasibu anafanya..Yani pale wanashushwa kila siku kutoka India ndani ya siku tatu unakuta ana hadi Driving licence unajiuliza kaipataje hujui..
Mm nmecheki movie za kikorea hata 20 zimefika lakini naomba kutoa heshima kwa movie moja tu inaitwa THE QUEEN OF AMBITIOUS.Hii movie ina mafunzo mpaka kwenye maisha yetu halisi tunayoishi.Kila part ina mafunzo.iko poa sana
Temeke watu walisali mchana na usiku Mtemvu aondoke,kuanzia jana saa nane mchana aligoma kusign matokeo,watu wameshinda Duce na jana mabomu yakapigwa kutawanya watu hatimae yametimia,,mbaya zaidi anaishi Mbezi
Jamani ni sawa bongo movie wanakosea sana ila haya mambo hata kwa wenzetu yapo.Kuna movie moja ya wakorea inaitwa missing you"ile movie ilibidi niitupe walikuwa wanaongea lugha yao ila subtitle ni kingereza ilikuwa ni zaidi ya bongo movie.Yani ilikuwa mbaya huelewi kitu.Sikuweza hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.