Jipu: Wahindi waanza kubadilisha vyeo

Jipu: Wahindi waanza kubadilisha vyeo

Umeongea jambo la muhimu sana baadhi ya watumishi wa uamiaji sio waadilifu bado wanaonekana wakiranda-randa kwenye viwanda na maofisi kuchukua rushwa za mwisho-mwisho. Wakome haraka la sivyo tutaanza kuwataja kwa majina.

Naomba usinitaje ndg. yangu
 
Magufuli bado ana kazi nzito amekataza safari za nje lakini kuna idara zinalipa mamilion ya pesa kwa kisingizio cha consultation fee, hivi inakuwaje tunazuiwa kwenda nje lakini watu wanakuja kufanya consultation kwa kazi ambazo tuna wataalamu wa kutosha au consultation ya miaka nenda rudi haishi, Watu hawaendi nje lakini wanapiga pesa kwa 10% za kwenye consultation fees, inatosha tunahitaji wataalamu wageni kwa mambo ambayo hatuyawezi sio kila kitu vingine wapewe kazi Watanzania
 
HAKUNA MTU MBAGUZI KAMA MWAFRIKA HASA MTANZANIA TRUST ME SEMA HAJAPATA TU UWEZO MKUBWA KIUCHUMI YAANI WATU WASINGEKUNYWA MAJI
Thibitisha kwa mifano, na je ushawahi kuishi nje ya mchi? Ushawahi kuishi na wakongo? Wanaijeria?
 
Nilifanikiwa kufanya utafiti katika kiwanda cha Nile Perch, Vick Fish na Nyakato Steel mwanza nilichogundua ni kwamba kila unapofika ugeni wa kiserikali katika viwanda hivyo kuna baadhi ya wahindi hujificha.
 
Hao Maafisa Uhamiaji wafike haraka katika kiwanda cha PEPSI. SBC (T) Ltd.
 
Inauma sana,mhindi anatoka kwao kama fundi wa kushona na kudarizi,akifika bongo anakuwa mechanical engineer.
 
Nilifanikiwa kufanya utafiti katika kiwanda cha Nile Perch, Vick Fish na Nyakato Steel mwanza nilichogundua ni kwamba kila unapofika ugeni wa kiserikali katika viwanda hivyo kuna baadhi ya wahindi hujificha.
kuna mama mmoja chizi alikuwa pale kigereshi karibu na Nyakato steel,alishika mimba na kujifungua mtoto mwenye asili ya kihindi,hawa watu ni tatizo kubwa.
 
Zoezi hili ni gum kama hatutaiunga mkono serikali.
Arusha kuna kitu kinaitwa Culture heritage, kimejaza wahindi wanachonga vinyago vya kuuza kwa watalii na kusafirisha nje ya nje kibaya zaidi wanavidrill/ kupekecha na kutumia kusafirishia tanzanite kwenda india na kwingineko.
Wamakonde wasingeweza kuajiriwa?
Kuna madudu mengi ya wageni huku, wamejaa wakenya wanafanya kazi za hotel management,,,watz hawawezi?
Kuna wazungu wanajifanya wanajenga mahotel lakini tayari yanalaza watu na kutumia kama camp site, halipi chochote serikalini na wanawanyima wageni wenye hotel wanaolipa kodi.
Nashauri serikali ifungue web itakayotumika kupokea taarifa ya wageni haramu au namba za simu
Umenena mkuu ila wahindi ninavyowajua mie wataihack tu
 
Hawa wahindi wamejaa mno kwenye hii nchi afu wanadharau sana huku mail moja kibaha wapo 200 wanamrad wa maji toka ruvu juu ni mafundi wa kuchomea waokota miziz wachimba visima kwa chepe hv serekal haiwaoni kweli
 
Waende na Sadolin Paints iko Tazara pale kuna jamaa anajiita Commerciak Manager wakati anafanya kazi zote za uhasibu ambazo hata mtu wa Certificate ya uhasibu anafanya..Yani pale wanashushwa kila siku kutoka India ndani ya siku tatu unakuta ana hadi Driving licence unajiuliza kaipataje hujui..
 
Sadolin Paints ni jipu jingine,Mbaya zaidi kuna vibarua wana miaka hadi 8 hawajawa recruited hadi leo yani huwa inaniuma sana akija Muhindi ni faster.Wana mtu wao Immigration uyo ndio huwa anawafanyia michakato yote ya jinsi ya kufanya kazi hapa mwisho wa mwezi ukifika anapewa bahasha nono jamaa anasepa.
 
Serikali isipomgusa MENGI na wahindi wake ntajua kuna kitu sio bure aiwezekani ,HASUJI wamepatapakaa huku bonite halafu sis tunafanya vibarua
 
kuna wakati nikiwa nafanya kazi ktk benki moja nilienda kutembekea mteja wa mikopo alikuwa anawekeza EPZ Tabata,pale site tulikuta vibarua wanajenga wote ni wahindi kutoka India hawajui lugha nyingine zaidi ya kihindi na wamedhoofu wanatia huruma kumbe wanawafanyia hivo kwa sbb wanajua hawawezi kuiba,akiiba atavipeleka wapi na hawatoki mule mpaka mradi wa ujenzi uishe wananyang'anywa passport hawana ujanja tena,hiyo stori utaikuta hata kwenye viwanda vya mikocheni wapo ! majipu hayo nawasilisha!
 
Sadolin Paints ni jipu jingine,Mbaya zaidi kuna vibarua wana miaka hadi 8 hawajawa recruited hadi leo yani huwa inaniuma sana akija Muhindi ni faster.Wana mtu wao Immigration uyo ndio huwa anawafanyia michakato yote ya jinsi ya kufanya kazi hapa mwisho wa mwezi ukifika anapewa bahasha nono jamaa anasepa.
Kuhusu swala la ajira kwa Vibarua nenda pale Bakheresa Tazara ndio utashangaa,pale kuna watu wana miaka zaidi ya 5 hawajaajiriwa wanachokifanya wakiona kibarua umekaa muda mrefu wanakuja na gia ya kupunguza Vibarua baada ya muda wanaajiri wengine wapya.
 
Kuhusu swala la ajira kwa Vibarua nenda pale Bakheresa Tazara ndio utashangaa,pale kuna watu wana miaka zaidi ya 5 hawajaajiriwa wanachokifanya wakiona kibarua umekaa muda mrefu wanakuja na gia ya kupunguza Vibarua baada ya muda wanaajiri wengine wapya.
Mkuu bora huko kwa bakh .. Hata kama ni kibarua walua kuna umate umate ,sasa huku kwa mzee MENGI mirerani wanakulipa 4000ts tena bila mkataba huo sio utumwa kweli
 
Wewe unayesema Mtanzania mbaguzi mbona umekuja kwake na amekuacha kufanya Kazi ambazo anaweza,nadhani mnapaswa mkubali kuwa muda umefika wakurudi kwenu
 
Inauma sana,mhindi anatoka kwao kama fundi wa kushona na kudarizi,akifika bongo anakuwa mechanical engineer.
Kweli kabisa mkuu. Nakubali kabisa kuwa kweli ukiendekeza njaa unaweza ukaliuza taifa lako na ukakosa uzalendo na nduguzako. Ebu jaman ndugu zangu tujaribu basi kujifunza kwa hao hao wanyonya uchumi wetu wageni mashushushu. kwanza wanaletwa na wenzao, Kisha wanapandikizwa uhodali ya kuwa watu weusi, W TZ hawana maarifa wala utambuzi wowote wao ni wakuvutwa vutwa na kusukumwa tu, tena kuanzia huko juu selikalini, kisha anapewa kundi la Wa TZ maprofessional wa magari awaongoze na yeye wakati huo hata mfumo wa brake system haujui!! Hii inaonesha wazi hata wageni wametuzid uzalendo wa kujali wao kwa wao tena wakiwa ndani ya nchi yenye wasomi, sheria wazi, na utandawazi. Tuamke jamani, aibu hii na kama baba na babu zetu waliotawaliwa na wakoloni enzi hizo wakiamka na kukuta bado tunatawaliwa na kusukumwa sukumwa na wahindi, wachina, wavietnam, na hata hao tunaoshea nao lugha(kiswahili) yaani hawa wote ni wa dunia ya tatu,, watajisikiaje ndugu zangu???
TUWE WAZALENDO TUUKUZE UCHUMI WETU..
 
Wakuu huku st.joseph ni shidar ile mbaya najuta kwann TCU walinileta huku majipu yako mengi sana na kuyataja sidhani kama ntayamaliza leo
Naomba sana wahusika wachukue hatua za haraka,,,,,
 
Back
Top Bottom