Ungekuwa unaweka na bei pamoja na picha za ndani ya gari ungevuta wateja, kuliko mtu aweke vocha akupigie akute gari unauza 7 mil wakati yeye ana 3 mil ni kumwongezea gharama za sm bila sababu za msingi, hebu fikiria kama kila mtu atafanya kama wewe huyo mnunuzi hela yote si itaishia kwenye vocha tu kabla hata ya kununua hilo gari lenyewe?
Pata gari aina ya opaq kwa bei poa kuanzia M5 hadi M4.5 angalia hpa chini picha kwa maelezo piga 0718849462
Ni ya mwaka gani, imeenda km ngapi,imemilikiwa na watu wangapi kabla ije TZ na hapa TZ pia, nini matatizo yake ya mara kwa mara?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.