babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,071
- 15,930
wao hamsini mpaka mia,ni jana tu nilikua naangalia documentary moja ya maproducer wanaijeria jamaa akasema wanaprodyusi muvi 500,kwa mwaka,yaani wao movi moja ni wiki tu iko tayari,na wanasema iko siku movie zao zitauza kuliko za hollywood,LMAO:rolleyez: