Miaka zaidi ya 20 ktk chama umeahindqa kukijenga,leo unataka tena tena kimabavu. Umesahau nini? Ulijiudhuru kwa ridhaa yako kisa UKAWA kumpokea Lowasa na ukawaacha ktk ya vita. Wewe si mwanaume shupavu ni wa kukataliwa kabisa,hukuombwa kujiudhuru bali yalikuwa matakwa yako na Lowasa...
Kwasasa issue si chuo ila ni kipi unacho though kuna sector zingine bado wamekaliliUDSM ya miaka ile sawa na ya leo. Kuna vijana wengi tuu wa UDSM wamepata kazi ila hawajui kitu na wanawafata vijana wengine waliosoma vyuo vingine either waliopo makazini au bado wanatafuta ili wawasaidie hasa...
JHPIEGO ni waswahili kinoma,mnaweza fanya interview ila akaja ajiliwa mtu ambaye hakuwepo kbsaaa ktk interview. Kuna mtu yupo pale niliongea nae akaniambia usipoteze muda mdogo wangu,bora zamani ila siyo siku hizi.
Kuua azimio la Arusha na kujilimbikizia mali,vilihasisiwa na baba wa Taifa?
Tunapoambiwa ukweli na wapinzani tuukubali ukweli na tujenge hoja.
Nchi gani imekuwa km ya walanguzi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.