Akina dada kulamba kunawanyima haki ya kuolewa

Akina dada kulamba kunawanyima haki ya kuolewa

Kigodoro

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2014
Posts
1,665
Reaction score
1,686
Jamani akina dada kuolewa ni heshima kubwa sana kwa mwanamke yeyote yule. Hata uwe na maisha ya kifahari kiasi gani kama huna mume hujakamilika.

Ili uolewe kuna mikao (pose) unatakiwa kuwa nayo, mavazi ya staha, na lugha nzuri kinywani. Usiporomoshe mineno kana kwamba ni mnyampara wa wafungwa utegemee utaolewa.

Wanaume wengi humuogopa mwanamke anaetupia uume kinywani (oral sex ) maarufu kama kulamba koni. Wengi hufanya naye mapenzi mwanamke wa aina hiyo lakini kamwe hawezi kumfanya kuwa mke.

Wanaume hujiuliza kuwa kama huyu amelamba koni yangu amelamba ngapi? Wapi alijifunza huu uchafu? Huhitimisha kwa kukuona wewe ni professional whore.

Acheni kujifanya wajanja mtaishia kucheza kwaito kwenye harusi za wenzenu.
 
Jamani akina dada kuolewa ni heshima kubwa sana kwa mwanamke yeyote yule. Hata uwe na maisha ya kifahari kiasi gani kama huna mume hujakamilika.

Ili uolewe kuna mikao (pose) unatakiwa kuwa nayo, mavazi ya staha, na lugha nzuri kinywani. Usiporomoshe mineno kana kwamba ni mnyampara wa wafungwa utegemee utaolewa.

Wanaume wengi humuogopa mwanamke anaetupia uume kinywani (oral sex ) maarufu kama kulamba koni. Wengi hufanya naye mapenzi mwanamke wa aina hiyo lkn kamwe hawezi kumfanya kuwa mke. Wanaume hujiuliza kuwa kama huyu amelamba koni yangu amelamba ngapi? Wapi alijifunza huu uchafu? Huhitimisha kwa kukuona wewe ni professional whore.

Acheni kujifanya wajanja mtaishia kucheza kwaito kwenye harusi za wenzenu.

Kama wewe hupendi
Wengine tunapenda
Na ndoa fasta
 
Jamani akina dada kuolewa ni heshima kubwa sana kwa mwanamke yeyote yule. Hata uwe na maisha ya kifahari kiasi gani kama huna mume hujakamilika.

Ili uolewe kuna mikao (pose) unatakiwa kuwa nayo, mavazi ya staha, na lugha nzuri kinywani. Usiporomoshe mineno kana kwamba ni mnyampara wa wafungwa utegemee utaolewa.

Wanaume wengi humuogopa mwanamke anaetupia uume kinywani (oral sex ) maarufu kama kulamba koni. Wengi hufanya naye mapenzi mwanamke wa aina hiyo lkn kamwe hawezi kumfanya kuwa mke. Wanaume hujiuliza kuwa kama huyu amelamba koni yangu amelamba ngapi? Wapi alijifunza huu uchafu? Huhitimisha kwa kukuona wewe ni professional whore.

Acheni kujifanya wajanja mtaishia kucheza kwaito kwenye harusi za wenzenu.
acha porojo zako, kama ulipata asiejua kula cone usifanye wengine wote wakakosa. Mtu hujamkuta bikra halafu uanze kuwaza keshakula cone ngapi, mbona hujiulizi huko kwingine zishaingia ngapi. Kina dada kipimo cha kwanza cha kuwa mke mwema ni uwezo wako kulamba cone. endeleeni kufanya na kuboresha ujuzi wenu.
 
Kunyonya ngapi ndio nini? Ikiwa ukumkuta bikra mbona ujauliza zimeingia ngapi hilo ball kaliingiza mdomoni kwake na ukaenjoy au unatutega akili eeh upate kitu kutoka kwetu sisi unyonywa na fresh tu sasa subiri mkeo huyo mwenye mikao ya chatu aliye shiba.
 
Back
Top Bottom