Unataka uwe na mwanamke mmoja huyo ni mama ako mzazi?[emoji3][emoji3][emoji3] maana mama mzazi pekee ndiye mmoja hapa duniani, ukiwa uwezo wa kuwahudumia wanawake unaokuwa nao hakuna shida
Hapana mkuu,kwa mtu mwenye uelewa juu ya hizo apps atajua tu hiyo vault ni umeficha vitu vyako,kuna app inaitwa audio manager kiukwel mkuu ukiwa nayo hiyo mtu sio rahisi kushtuka kama vile ni app ya kuweka vitu vya siri kwa maana ukiifungua mwanzo unakuta setting za kuongeza na kupunguza sauti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.