Ukishakosa first year huwezi pata tena ukiomba ni ndoto nina rafiki yangu alikosa ,akaomba tena akaeka hadi vyeti vya vifo vya wazazi akanyimwa, na mm pia ni mhanga ndio maana nakuambia ,iyo pesa ya kuapply bora uile tu heslb washenzi
Kuna ukweli wowote apaaa ......Fanya research yako vizuri mkuu...mbona wa mwaka Jana wamepata mwaka huuUkishakosa first year huwezi pata tena ukiomba ni ndoto nina rafiki yangu alikosa ,akaomba tena akaeka hadi vyeti vya vifo vya wazazi akanyimwa, na mm pia ni mhanga ndio maana nakuambia ,iyo pesa ya kuapply bora uile tu heslb washenzi
Hakuna continuous yyte aliepata mkopo huu, incase hujanielewa namaanisha kuwa kama ulikosa loan last year na ukaaply upya mwaka huu hakuna jina lolote limetoka mimi pia nimeapply ila sijapata, kuna hadi wengine wameeka death certificate za wazaz ila wamekosa , ni ngumu kupata cause wana assume kama umesoma adi kumaliza mwaka wa kwanza iweje ushindwe kumalizia, so ndo perception yao, na pia kama ulivokua unaona majina wakitoa wanaandika "MAJINA YA WANUFAIKA WA MKOPO MWAKA WA KWANZA" hakuna walipoandika na wanaoendelea, ila kwa maneno ya wadau wanasema huenda wakawa wameanza yachambua jana kwa sisi tunaoendelea mwaka wa pili na tatu so tunasubiri ila tukiona muda unayoyoma basi hakuna budi kuappealKuna ukweli wowote apaaa ......Fanya research yako vizuri mkuu...mbona wa mwaka Jana wamepata mwaka huu
Mbona udsm kuna majina ya continuous ya waluopata mkopo mkuu,hii batch ya nne,Hakuna continuous yyte aliepata mkopo huu, incase hujanielewa namaanisha kuwa kama ulikosa loan last year na ukaaply upya mwaka huu hakuna jina lolote limetoka mimi pia nimeapply ila sijapata, kuna hadi wengine wameeka death certificate za wazaz ila wamekosa , ni ngumu kupata cause wana assume kama umesoma adi kumaliza mwaka wa kwanza iweje ushindwe kumalizia, so ndo perception yao, na pia kama ulivokua unaona majina wakitoa wanaandika "MAJINA YA WANUFAIKA WA MKOPO MWAKA WA KWANZA" hakuna walipoandika na wanaoendelea, ila kwa maneno ya wadau wanasema huenda wakawa wameanza yachambua jana kwa sisi tunaoendelea mwaka wa pili na tatu so tunasubiri ila tukiona muda unayoyoma basi hakuna budi kuappeal
Mmmh una uhakika? Bila shaka umesikia kwa ntu tuMbona udsm kuna majina ya continuous ya waluopata mkopo mkuu,hii batch ya nne,
majina ya continues students walioapply loan yanatoka wiki hii mwishoni...so ucseme kuwa continuing students hawapewi that's wrong nina uhakika wa asilimia 100 kuhusu nachokwambia wait not more than 4 days from today batch itatoka ya continues kama uliomba subirHakuna continuous yyte aliepata mkopo huu, incase hujanielewa namaanisha kuwa kama ulikosa loan last year na ukaaply upya mwaka huu hakuna jina lolote limetoka mimi pia nimeapply ila sijapata, kuna hadi wengine wameeka death certificate za wazaz ila wamekosa , ni ngumu kupata cause wana assume kama umesoma adi kumaliza mwaka wa kwanza iweje ushindwe kumalizia, so ndo perception yao, na pia kama ulivokua unaona majina wakitoa wanaandika "MAJINA YA WANUFAIKA WA MKOPO MWAKA WA KWANZA" hakuna walipoandika na wanaoendelea, ila kwa maneno ya wadau wanasema huenda wakawa wameanza yachambua jana kwa sisi tunaoendelea mwaka wa pili na tatu so tunasubiri ila tukiona muda unayoyoma basi hakuna budi kuappeal
Mkuu mimi mwenyewe uhakika ninao, mtu wa board kabisa ndio ameniambia kwamba continuous kupata ni a gamble , anyways kama mpaka sasa hivi haujapata bado kwenye allocation status inaandika ukate rufaa, hiyo ni kwa wote waliokosa , sasa je kwahiyo hayo majina yakitoka unataka kuniambia hiyo status itapotea?majina ya continues students walioapply loan yanatoka wiki hii mwishoni...so ucseme kuwa continuing students hawapewi that's wrong nina uhakika wa asilimia 100 kuhusu nachokwambia wait not more than 4 days from today batch itatoka ya continues kama uliomba subir
Daah sory mkuu kama kama umeandika huku ukiataraji majibu yanayofanana,mi nipo apa udsm nimeyaona ayo majina,mana hata mimi mwenyewe ni mwaka wa kwanza jina langu limetoka awamu ya 4 so wameandika kabisa batch 4 continuous,but wory out ntapiga picha yale majina ya continuous then ntakutumia kesho panapo majaaliwa,Mmmh una uhakika? Bila shaka umesikia kwa ntu tu
Mdogo wangu mm pia ni continuous hapo hapo ud, ila sijui nitafuatilia vizuriz yako mangapi?Daah sory mkuu kama kama umeandika huku ukiataraji majibu yanayofanana,mi nipo apa udsm nimeyaona ayo majina,mana hata mimi mwenyewe ni mwaka wa kwanza jina langu limetoka awamu ya 4 so wameandika kabisa batch 4 continuous,but wory out ntapiga picha yale majina ya continuous then ntakutumia kesho panapo majaaliwa,
Sikumbuki mangapi ila nenda pale yalipo bandikwa majina ya hostel na loan utayaona ya batch 4 ,then angalia vizuri mkuu may be yawezekana mm nikawa nakosea,so utanipa mrejesho mkuu,Mdogo wangu mm pia ni continuous hapo hapo ud, ila sijui nitafuatilia vizuriz yako mangapi?
Ok i think ni majina ya continuous ambao wamepata mkopo maana kawaida huwa wanabandikaga so sidhani kama ni ya walioaply upya, hivo tuSikumbuki mangapi ila nenda pale yalipo bandikwa majina ya hostel na loan utayaona ya batch 4 ,then angalia vizuri mkuu may be yawezekana mm nikawa nakosea,so utanipa mrejesho mkuu,
mwenyew nipo udsm majina ya continuous batch 4 yamebandikwa yapo kama,45Ok i think ni majina ya continuous ambao wamepata mkopo maana kawaida huwa wanabandikaga so sidhani kama ni ya walioaply upya, hivo tu
Yamebandikwa wapi? Loan allocation status yako inaonyeshaje? Je hayo majina ya continuous yalikua kwenye hizi pdf au yanajitegemea yenyewe? N kama unayo picha naombaE
mwenyew nipo udsm majina ya continuous batch 4 yamebandikwa yapo kama,45
Hayo maswal kaulize waliobandika...mliopata continuous njooni muwaeleweshe wenzenu ..naona hawaamin aminYamebandikwa wapi? Loan allocation status yako inaonyeshaje? Je hayo majina ya continuous yalikua kwenye hizi pdf au yanajitegemea yenyewe? N kama unayo picha naomba
Kama upo udsm na hujui bas utakuwa unashinda bar...mbona majina yapo wazYamebandikwa wapi? Loan allocation status yako inaonyeshaje? Je hayo majina ya continuous yalikua kwenye hizi pdf au yanajitegemea yenyewe? N kama unayo picha naomba