Naomba kuuliza kwa wazoefu..nauli ya kutoka Dar es salaam kwenda Uganda ni shilingi ngapi. Na ni bus gani zuri la kusafiria? na kwenda Uganda kunahitajika paspoti ya kusafiria au ni kitambulisho cha kawaida.
Mimi ni mfanyabiashara nategemea kuanza biashara ya mitumba soko la mitumba Ilala boma. Nategemea kuuza nguo za kitoto na za kike. Naomben ushauri kuhusu mchanganuo mzima. Bei ya belo,gharama za usafiri, malazi, na taratibu za kusafiri.
Mim ni kijana mwanaume naishi dar es salaam,nahitaji kwenda kufanya biashara msumbiji,ninamtaj wa sh.
600000.naomba wafanyabiashara wenyeuzoefu wa huko wanisaidie n biashaea gan ya kufanya.na michanganuo yote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.