Recent content by ndesangao

  1. N

    Usafiri wa basi kutoka Dar kwenda Uganda

    Naomba kuuliza kwa wazoefu..nauli ya kutoka Dar es salaam kwenda Uganda ni shilingi ngapi. Na ni bus gani zuri la kusafiria? na kwenda Uganda kunahitajika paspoti ya kusafiria au ni kitambulisho cha kawaida.
  2. N

    Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

    Mimi ni mfanyabiashara nategemea kuanza biashara ya mitumba soko la mitumba Ilala boma. Nategemea kuuza nguo za kitoto na za kike. Naomben ushauri kuhusu mchanganuo mzima. Bei ya belo,gharama za usafiri, malazi, na taratibu za kusafiri.
  3. N

    Ushauri wa bure kwa Waislam

    tunataka nembo ya taifa letu na nguruwe awemo.
  4. N

    Mtoto anapogoma kulala

    dawa ni kumnywesha konyagi vijiko 3.katalala mbayaa.
  5. N

    Anahitajika Meneja wa Bar

    kama upo srz ni pm nikupe ushauri kwanza.
  6. N

    Natafuta mbwa wa kufuga

    mkuu na kama nikitaka kuja kumpandikiza jike wang inakuaje?
  7. N

    Natafuta mbwa dume german type

    naishi mbezi kibanda cha mkaa,nina mbwa jike natafuta dume la kukod kwa ajil ya kumpandikiza jike wang.
  8. N

    Anayefahamu sifa za mabinti wa kisukuma

    kwa sasa wamebadilika sana.wamekuwa wasanii na matapeli.
  9. N

    Naomben ushauri kwa wenye uzoefu na nchi ya Msumbiji.

    Mim ni kijana mwanaume naishi dar es salaam,nahitaji kwenda kufanya biashara msumbiji,ninamtaj wa sh. 600000.naomba wafanyabiashara wenyeuzoefu wa huko wanisaidie n biashaea gan ya kufanya.na michanganuo yote.
  10. N

    Natafuta mkulima wa matikiti maji

    namba zangu ni 0659663232
Back
Top Bottom