Nasikia anajihashua hivyo!!
shangaa thatha.
Hongera bibie...Wasukuma watu wema sana!!!
shukrani braza.......
Usijali...for sure huwa nawakubali sana, ila u guys gotta work out ur bed skillz au sio?
teh teh teh tutalifanyia kazi mkuu.
Habari wanajavini yeyeto anayejua tabia za mabinti wa kabila la wasukuma anisaidie
1: wana nidhamu kwa waume zao
2: They are very submissive
3: Ni wakarimu
4: wavumilivu
5: Wana nguvu (kama una shamba ondoa shaka)
6: Wana upendo na ndugu kwa upande wa mwanaume (siyo kama wamachame)
Hizo ni general, lakini binadamu wote si sawa, huwezi kushangaa sana kukutana na tabia opposite to these.
Asante sana kwa hilo maana ndio tulivyo
Wakati wa majambozi huwa wanatulia tuli ili umuwoweee!!! eti hiyo ni heshima