Nyinyi hamna utofauti na wale wanafiki wa enzi za Yesu......Mungu ni roho na mwambunduyo watamwabudu katika roho na kweli.... sasa nyinyi endeleeni kuiabudu sabato,
Nao watamwambudu MUNGU katika roho na katika roho na kweli,,,,,, wasabato mnaabudu SIKU na sio MUNGU.. nina marafiki zangu ni wasabato nawafahamu vilivyo... niwashika siku sana lkn ni watenda uzinzi wa kutupwa... sasa unashika sabato halafu UNAZINI then unasema dunia imelaaniwa kwa kutoishika...
Achana nae mkuuu.....kaenda kubali id anadhani anashindani tuzo ya mabishano..sisi tunazungumza vitu alivyokuwa anavifanya dinyo uwanjani yeye anaanza kuleta habari za takwimu....
Kwani kama ww unampenda mess au ronaldo unataka na mm niwapende kama ww...ww baki na iman yako na mimi nibaki na iman yangu...kama burudani ni stastis basi nenda kazichukue kwa hao akina mess.........
Aiseee...nakumbuka yeye ndo aliyenifanya niipende barc.sikuwa mshabiki wa barca ila yeye alinifanya niipende barca..nakumbuka jamaa alikuwa akiweka mpira kwenye paja kuupata ni ishu.anakutunishia msuli na hiwezi kuupata hata kwa dawa..ukimchezea rafu yeye hajali anacheka tu..dinyo ni habari...
Aisee mnanikumbusha mbali sana.....nakumbuka pcb yetu ya 2014 ilikuwa ni balaa...mkuu wa shule alikuwa akiongea class nzima wanazomea ..aisee lile darasa ni noumaaa
Mm nilichaguliwa hapo pcb 2011 lkn sikufanikiwa kumalizia hapo nilihama kutokana na usumbufu wa walimu. Mpaka mm naondoka haikuwa ba walimu labda kama sasa hivi wapo ila hawakuwepo kwaio mwambie mdogo wako ajiandae kisaikolojia na haya 1.ile ni shule ya mix tena O level na A leve kwaio kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.