- Thread starter
- #21
Ngoja nikuangalizie,kuna uzi sawa na huu niliitoa sasa naona haupo tena.Ahsante mkuu. Namba ya ofisi?
Kama unahitaji shamba uje nikuuzie la kwangu,ila msimu ukiisha unarudisha huendelei
Ngoja nikuangalizie,kuna uzi sawa na huu niliitoa sasa naona haupo tena.Ahsante mkuu. Namba ya ofisi?
Ahsante mkuu. Namba ya ofisi?
Nina imani ulimaanisha umkodishie na siyo kumuzia... kwani hii sharti ya kurudisha shamba msimu ukisha isha wakati mtu ameshanunua itamkosesha usingizi na kufeli kabla hajaanza..Ngoja nikuangalizie,kuna uzi sawa na huu niliitoa sasa naona haupo tena.
Kama unahitaji shamba uje nikuuzie la kwangu,ila msimu ukiisha unarudisha huendelei
Nina imani ulimaanisha umkodishie na siyo kumuzia... kwani hii sharti ya kurudisha shamba msimu ukisha isha wakati mtu ameshanunua itamkosesha usingizi na kufeli kabla hajaanza..
Ahsante Mkuu. Udumu.+255 713 467 930,mwenyekiti wa chama
sasa mkuu unauza unakodisha? Narudisha tena!!!!Ngoja nikuangalizie,kuna uzi sawa na huu niliitoa sasa naona haupo tena.
Kama unahitaji shamba uje nikuuzie la kwangu,ila msimu ukiisha unarudisha huendelei
100,000 ni malipo ya maji utakayokuwa unawekewa kwenye mpunga mpaka utakapovuna.Mkuu CityHunter1 asante kwa taarifa ila naomba ufafanuzi kidogo kwenye hiyo shs 442,000 ni kwa ajili ya kukodi ekari moja au hekta moja? Na ni kwa msimu au kwa mwaka? Na maximum ni ekari/ hekta ngapi kwa mtu mmoja?
sasa mkuu unauza unakodisha? Narudisha tena!!!!
ooh!! Sawa mkuu.Hapo hujanielewa vema,ntakachomuuzia ni mpunga auhudumie maana shamba(ardhi)ni mali ya chama
Mkuu CityHunter1 asante kwa taarifa ila naomba ufafanuzi kidogo kwenye hiyo shs 442,000 ni kwa ajili ya kukodi ekari moja au hekta moja? Na ni kwa msimu au kwa mwaka? Na maximum ni ekari/ hekta ngapi kwa mtu mmoja?
Nilitapeliwa shamba huko aiseee yaani....
Nilinunua shamba kwa mtu, nikaenda mpaka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa tukaandikishana, kumbe shamba la mjeda kitambo, alipostaafu Kaja kulilima hapo ndipo nilipolia na kusaga meno, namuuliza mwenyekiti kwanini ulikubali kuandikisha lile shamba wakati unajua lina mtu, ooooh nilisahau maana jamaa kitambo hajalilima.Ulikosea sana kukaa na hilo jambo kimya,ndo maana niliamua niwashilikishe wanaohitaji wawe makini.
Kuna mtu wangu wa karibu,kafika,ana mihela yake,kaona hili bonge la deal,kaona sijui siwezi mwambia kitu,kalipia mashamba 12,mwisho wa siku yoooote yana wenyewe,amebaki tu na mawili.Cha ajabu katuma hela 140,000 anunuliwe mbolea aina ya Super Gro,kapewa maji ya bombani kwenye chupa ya maji ya Kilimanjaro.
Kama unachukua kwa mtu,uliza kwanza majirani anaelima ni nani.Si anakuwa anafahamika?! Kule wajanja wengi
Pole sana mkuu. Naona ulikua unataka ingia kwenye anga za mjeda hhaha! Vipi ulipata haki yako??Nilinunua shamba kwa mtu, nikaenda mpaka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa tukaandikishana, kumbe shamba la mjeda kitambo, alipostaafu Kaja kulilima hapo ndipo nilipolia na kusaga meno, namuuliza mwenyekiti kwanini ulikubali kuandikisha lile shamba wakati unajua lina mtu, ooooh nilisahau maana jamaa kitambo hajalilima. Ilibidi nimsweke ndani aliyeniuzia.
Mleta mada huko wanalima nyanya na cabbage??Ulikosea sana kukaa na hilo jambo kimya,ndo maana niliamua niwashilikishe wanaohitaji wawe makini.
Kuna mtu wangu wa karibu,kafika,ana mihela yake,kaona hili bonge la deal,kaona sijui siwezi mwambia kitu,kalipia mashamba 12,mwisho wa siku yoooote yana wenyewe,amebaki tu na mawili.Cha ajabu katuma hela 140,000 anunuliwe mbolea aina ya Super Gro,kapewa maji ya bombani kwenye chupa ya maji ya Kilimanjaro.
Kama unachukua kwa mtu,uliza kwanza majirani anaelima ni nani.Si anakuwa anafahamika?! Kule wajanja wengi
Zao lolote linakubali mkuuMleta mada huko wanalima nyanya na cabbage??
Niliona umegusia sana mpunga ndio maana nikauliza. Na nyanya ni sehem gani zinakubali??Zao lolote linakubali mkuu