Mnaosema kakosea nazan hamjapata stori kamili ya huyu binti, na haijawagusa.
Embu fikiria n wewe hapo upo degree mwaka wa misho semester ya mwisho ukitarajia kukamilisha ndoto yako alafu inatokea hali hiyo na hunamsaada zaid ya kuupata katika jamii.
Nazani tatizo lipo katika mfumo kwamba wanafunzi wengi wamejikita kwenye kufaulu kuliko kuwa wabunifu ndio maana unaweza kuta mwanafunzi anaGPA nzuri ilaubunifu mdogo. Pia elimu yetu kiasi kikubwa inawafanya wanafunzi wakariri wafanye mtihani baasi.
Japokua kunawanafunzi pia wanafanya vzuri kote...
Hapa umenena kwann wanafunzi wengi wanasema wanatokea Dar wakati Dar kwa mjomba.
Pia wanawake wengi wachuo wanafanya ivyo kwasababu wengi wanafuata mkumbo na kuishi maisha yasio na uhalisia
Video ni nzuri hainaubaya na wimbo ni mzuri. Labda tatizo n sis wabongo tumezoea video kunawadada wapo nusu uchi ndio tatizo linaanzia hapo ilakwa wanaosema n mbaya sijui wanatumia kigezo gani.
Nazan hujui unachokizungumza aiza ulihadithiwa na mtu amaulisikia stori kijiweni. Asilimia kubwa ya aridhi maeneo ya kasikazin inamilikiwa na wazawa, japokua kweli kunamaeneo ya mashamba yanatumika na makampuni mfn mkoani klimanjaro kunakampuni kama TACRI inamiliki eneo kwaajili ya utafiti wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.