Hapa unampa sifa mkurugenzi za buleeee! Huhitaji hata kufungua kifungu cha sheria/katiba inayowakataza wabunge/madiwani wa Z'bar kushiriki uchaguzi huo. Ila unahitaji gharama ya ujinga wa kutupwa ili kuhalalisha uwepo wa wabunge wa Z'bar katika uchaguzi wa bara hususani kipindi hiki cha sito fahamu ya uchaguzi wa Z'bar. Hakuna madiwani/Wabunge madhalani wa Kigoma, Iringa n.k wanaoishi Dar? Kwanini na wao wasishiriki?Mkurugenzi wa Manispaa sio mbumbumbu. Kabla ya kufanya hivyo amechambua kwa makini hoja za pande zote kwenye suala hili la ushiriki wa wajumbe kwenye uchaguzi huu.