We ni muongo kabisa, kwanza Mzumbe ni jina na kuna vyuo vingi vyenye jina la mzumbe. Kuna morogoro, dar, mbeya na mwanza je wewe umesoma wapi? Haiwezekani makosa afanye prof wa chuo hiki alafu useme mzumbe yute iko hivyo. Pia hakuna prof anayejishughulisha na ujinga unaosema labda ni prof wa...
Kuwa mkweli kidogo! we mfanyakazi wa PCCB na hadi leo hujui RAS ni nani? usitudanganye na kututungia story za kitoto, embu kaulize tofauti ya RAS na DAS alafu uje urekebishe fix zako.
sijui mwisho wako unataka iweje? pengine sijakuelewa yani unataka watu wachat kwenye simu au iweje? au wawe wanaongelea mambo mbalimbali ya simu zao? tafadhali nifafanulie, binafsi nimejisajili na sijui pa kuendelea japo hujaanza rasmi lakini nilidhani nitakuta kitu kinachofanya kazi tayari...
Huyo jamaa ni miongoni mwa watendaji waliojuu sana kwa utendaji wa kazi zao hapa Tanzania sasa hivi, jamaa anafanya mambo makubwa kwa muda mfupi popote anapopita! na kila anapoondoka wafanyakazi humlilia, alitokea Mbinga kama Mkurugenzi akaliliwa, akaenda Kinondoni manispaa akaliliwa na...
Hakuna picha iliyochanganywa hapo labda useme sio Arumeru, uoga haufai kiukweli Cdm wanaonekana kupata watu wengi Arumeru lakini cha msingi hao watu wamejiandikisha?
Hadi leo sielewi anayeongelewa, kinachonifanya nihisi ni kampeni zao sababu kisa chenyewe hakieleweki alafu hakichekeshi but wanarudia mara kwa mara, ninavyojua mimi ni kwamba kisa kizuri uwa ndo kinarudiwa na hasa kisa ambacho jamii wanakipenda sasa hatuelewi...
Ndugu zetu wa ze komedy naona wamekuwa wanafanya matangazo au kampeni dhidi ya wanaowatuma, nashindwa kuelewa hii PIGA CHINI inayoonyeshwa mara ya 3 umuhimu wake kwa jamii ni nini? kwanza haieleweki, pili inaonekana ni kama wamevuta pesa ili kufanya kampeni chafu kimtindo. Ndg zetu TULIWAAMINI...
Hali imegeuka na sasa inaonekana CCM wameanza kuongoza kwa kumuacha Chadema kwa mbali sana! Mambo yamegeuka maana kuna kata inaonekana kuna tofauti ya kura karibu 1000 CCM wako juu kwa CHADEMA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.