Ndugu zetu wa ze komedy naona wamekuwa wanafanya matangazo au kampeni dhidi ya wanaowatuma, nashindwa kuelewa hii PIGA CHINI inayoonyeshwa mara ya 3 umuhimu wake kwa jamii ni nini? kwanza haieleweki, pili inaonekana ni kama wamevuta pesa ili kufanya kampeni chafu kimtindo. Ndg zetu TULIWAAMINI LAKINI MNAANZA KUWA WAPIGA KAMPENI ZAIDI YA WACHEKESHAJI....