Firefox
Senior Member
- May 10, 2011
- 127
- 71
Mambo vipi wakubwa, hope michakato inaendelea kama kawaida.
Nimetengeneza forum site kwa ajili ya mobile phones discussions, na matarajio yangu ni kuwa na audience sehem mbali mbali duniani.
Sasa kwa stage niliyoifikisha nimeona si vibaya nikiwashirikisha wadau wangu wa JF tech and gadgets before sijai launch rasmi na kuanza kuipa promo.
Sasa naomba wakuu mnipe input ni wapi pa kurekebisha, wapi kwa kuongeza, na jinsi ya kuifanya iwe forum bora na ifanye vizuri kwenye area hiyo, kwa experience ya JamiiForums, ni matarajio yangu kwamba nitapata mawazo mengi ya kujenga na kuiboresha.
Wakuu Chamoto na wadau wote wa Jukwaa hili na wadau wa JF kama Invisible et al nitafurahi kawa mtanipa neno lolote either hapa kwenye post hii au hata kwa PM.
Nitafurahi kusikia kutoka kwenu.
site yenyewe ni www.mobilephonesforum.com
Nimetengeneza forum site kwa ajili ya mobile phones discussions, na matarajio yangu ni kuwa na audience sehem mbali mbali duniani.
Sasa kwa stage niliyoifikisha nimeona si vibaya nikiwashirikisha wadau wangu wa JF tech and gadgets before sijai launch rasmi na kuanza kuipa promo.
Sasa naomba wakuu mnipe input ni wapi pa kurekebisha, wapi kwa kuongeza, na jinsi ya kuifanya iwe forum bora na ifanye vizuri kwenye area hiyo, kwa experience ya JamiiForums, ni matarajio yangu kwamba nitapata mawazo mengi ya kujenga na kuiboresha.
Wakuu Chamoto na wadau wote wa Jukwaa hili na wadau wa JF kama Invisible et al nitafurahi kawa mtanipa neno lolote either hapa kwenye post hii au hata kwa PM.
Nitafurahi kusikia kutoka kwenu.
site yenyewe ni www.mobilephonesforum.com