Recent content by nature boy

  1. N

    Nimeenda Chanika. Ni mbali sana, mnaokaa huko mpewe maua yenu

    Thanx bro..sikulijua hilo. Basi vyema kama unavyosema. Unanunua kama asset.
  2. N

    Nimeenda Chanika. Ni mbali sana, mnaokaa huko mpewe maua yenu

    Mi nilioneshwa kiwanja 10m lkn kimahesabu nikaona hakunifai..ikiwa una mishe mjini basi pesa yako yote itaishia kwenye wese...pia unapoteza mda mwingi barabarani.
  3. N

    Nimeenda Chanika. Ni mbali sana, mnaokaa huko mpewe maua yenu

    Kuna maeneo kule yako wazi mpaka leo watu wana viwanja vyao na hawajajenga...kiukweli bado sana kuishi kule kimahesabu.
  4. N

    Kuna maisha mengine zaidi ya haya ya duniani?

    Maisha mengine yapo ili wale waovu walipwe kulingana na uovu wao walioufanya hapa duniani ...mfano waliokuwa ma dicteta na dunia iliwaogopa. Pia wenye kudhulumiwa walipe haki zao. Yatakuwa maisha yasiyo na mwisho baada ya hukumu. Wanadamu wote watafufuliwa kuanzia wa mwanzo kuumbwa na wa mwisho...
  5. N

    High income generating, low investment capital

    Kama amelipwa pesa yake ya nssf...
  6. N

    Nadhani nilikosea kuoa binti niliemzidi sana umri

    Fanya mazoezi..pumzika vya kutosha na kula vizuri. Show itakuwa poa.
  7. N

    Ufugaji wa kuku chotara na kienyeji kwa mijini ni hasara tupu

    Kuku wa kienyeji kuwafuga kwa kulenga zaidi matumizi ya familia kiafya ni bora sana kibiashara watakugharim. Epuka kula broilers fuga nyumbani kuku wa kienyej watoto wako pia wale mayai ya kienyeji. Wale kuku wa wiki6 achana nao.
  8. N

    Bado unatafuta wazo la biashara ya kufanya?

    Biashara ya nguo na perfume
  9. N

    IT kwa Tanzania ni kituko. Inakuwaje ni nadra kuwakuta waliotajirika? Hawazioni Fursa au ni watupu?

    Hivi unadhani IT ni programming tu... Sio kila mtu anatakiwa kujua kucode wengine wanajua command na ndio kazi zao.
  10. N

    Njia zipi nifuate ili kupata Zabuni ikiwa nina usajili wa BRELA?

    Unaweza nijibu mimi...mimi nina kampuni nilisajili ili nifanye shughuli binafs
  11. N

    Njia zipi nifuate ili kupata Zabuni ikiwa nina usajili wa BRELA?

    Unaweza nijibu mimi...mimi nina kampuni nilisajili ili nifanye shughuli binafs
  12. N

    Jinsi Ya Kupata (win) Kazi on Upwork

    Safi bro...binafsi ndio nimejiunga upwork naomba kujua umepiga kazi gani...napenda kujifunza zaidi.
Back
Top Bottom