Mi nilioneshwa kiwanja 10m lkn kimahesabu nikaona hakunifai..ikiwa una mishe mjini basi pesa yako yote itaishia kwenye wese...pia unapoteza mda mwingi barabarani.
Maisha mengine yapo ili wale waovu walipwe kulingana na uovu wao walioufanya hapa duniani ...mfano waliokuwa ma dicteta na dunia iliwaogopa. Pia wenye kudhulumiwa walipe haki zao.
Yatakuwa maisha yasiyo na mwisho baada ya hukumu.
Wanadamu wote watafufuliwa kuanzia wa mwanzo kuumbwa na wa mwisho...
Kuku wa kienyeji kuwafuga kwa kulenga zaidi matumizi ya familia kiafya ni bora sana kibiashara watakugharim. Epuka kula broilers fuga nyumbani kuku wa kienyej watoto wako pia wale mayai ya kienyeji. Wale kuku wa wiki6 achana nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.