Jamani naomba mnikumhushe kuna mechi moja ya simba na timu kama sikosei kutoka south afrika kombe la shirikisho/klab bingwa sikumbuki walipigiana penalty zaidi ya kumi adi golikipa simba ilishinda 11-10 mwenye kumbukumbu na mechi iyo tafadhali
Unaonaje kama ukitaja jina la iyo kampuni ya mikopo/shirika ili tujue ni tasisi gani?mbona inaonesha brand ya iyo kampuni ako kizungumkuti ndo maana uoweki hadharani.....tupe jina mkuuuui
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.