the viking
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 1,170
- 1,373
hivi ingelikuwa kweli kwamba anaumwa alafu itokee kwamba hakuwa na hela ungemsaidia vipi katika issue za hospital?Best mi sio tegemez hata kidogo ninabiashara yangu inanilipa tu
Nadhan imetokea tu kanipigia sikua nyumban na aliniambia yuko hoi anaumwa kwel sikurud hata nyumban kuchukua hela,,,bht nzur nilikua na hela kwenye manyonyo tena ulikua ya upatu,, ikabidi niende nafika ananiambia nilikumiss nikuone tu,,,,
Asubuh kaamka namwambia unajua sina nauli akaniambia poa
