Kwa usajili mkubwa kama huu wa zaidi ya paundi mil 220 haina maana ndio tunakuwa washindani wa kombe la ligi
Wenzetu sasa hivi wanaziba viraka vidogo vidogo na zinaonyesha impact baada ya kufanya usajili mkubwa wa zaidi ya paundi mil 300/400
mfano
Liverpool baada ya kufanya usajili mkubwa 2017...
Chilwell na Azpi, mimi naonelea Azpi apewe nafasi zaidi ya Reece james huyu reece kinachombeba ni kwenda mbele na kupiga krosi nzuri otherwise naye sio mzuri nyuma kama Azpi
Alvaro Morata, mchezaji mwenye bahati
Alinunuliwa Chelsea mil 74 akauzwa mil 58 akaipa Chelsea hasara ya mil 26
Alitoka AM na bado AM wakamnunua kwa pesa nyingi kutoka Chelsea
Alitoka Juventus na hakucheza vizuri sana lakini amerudi tena Juve na wakamkubali kumchukua wakijua aliflop huko
Huyu...
Petr Cech alisajiliwa akitokea Rennes na kuja kuwa Kipa bora kuwahi kutokea Duniani
Edouard Mendy naye kasajiliwa akitokea Rennes na kama mahesabu yanalandana naye atakuwa BIG name ndani ya jezi ya Chelsea
Maoni yangu juu ya Che vs Ban jana kwa ushindi wa 6-0 pale Darajani
Cleansheet jana Caballero kaisotea kwelikweli na kwa udakaji ule, Cabalero ni GK bora kuliko Kepa, Jana alicheza vizuri sana
Tammy abraham jana kakopi staili ya Giroud katoa assists nzuri takriban zote alizofunga Havertz
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.