Kwa hii line up ya kwenye karatasi ingekua ndo inavyoonekana ndo inavyocheza leo madrid alikua anakufa nyingi sana...
Ila sasa tuje uwanjani....sijui shida inakua nini
Hapana boss iko hivi budget utakayoweka itatumika kotekote
Yani kama uliweka dollar 5 zitatumika hizohizo usiwe na wasiwasi...
n.b budget unayoweka fb wanaweza kuivuka kidogo au kutumia chini kidogo ya bajeti hiyo kulingana na siku
Mambo vipi waheshimiwa...zinahitajika 100pc kwa ajili ya watoto wa shule za msingi anaeuza au anejua mahsli panapouzwa naomba anisaidiee...nikipata kwa dar au Mwanza itapendeza zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.