Mimi ni mwanachama wa LAPF na ndio naona mfuko bora wa mafao. Vikokotoa vyao vya fao la pensheni ni vizuri sana wana mafao mengine na habari niliyopata wanaanzishwa fao la elimu na mkopo wa elimu wanasubiri tu go ahead ya actuary ambaye amepewa kazi ya kutest. PSPF wako mahututi na wanaendelea...
Ninavyoelewa hawezi kupewa dhamana na Mahakama Kuu maana sio Mahakama inayosikiliza kesi, kwa mantiki hiyo file litabidi lirudi mahakama ya Kisutu ndio hapo waombe dhamana ambayo inaweza kuwa hata in one day. All the best for him.
ninapomuona mwalimu wangu Dr. Migiro naye kwenye msafara nikasema kumbe siasa mbaya sana. Yaani wanasiasa wanacheza sinema za mchana kweupe na kuishia kutudanganya wananchi. Mtu na akili zake anapanda treni dar mpaka kigoma ili afanyeje? kujifanya wananchi wa kawaida kumbe hamna lolote au...
Mimi sio mpenzi sana wa Zitto lakini kwa hili la gesi ya Mtwara nakubaliana naye. Unaposema ujenzi wa bomba una maana vitu vyote vinavyohusiana na hilo bomba hata kama kutakuwa na ujenzi wa nyumba za kuishi wa waangalizi wa bomba zote ni gharama za ujenzi. wewe ndio mpotoshaji.
Honestly, there is an issue behind Mtwara saga. We think we know the problem and we have solution but I guess we have not read between the line what is behind the move. Pinda to me is the worst PM this country had has, the guy can't think independently and when he think no one listen since he is...
Mimi kwa maoni yangu nafikiri suala la gesi mtwara linaendeshwa kisiasa sana. Ungeniuliza mimi ningekuambia suala la msingi ni jinsi gani mapato ya gesi yatawasaidia wana mtwara na wananchi wa Tanzania kwa ujumla. Issue sio wapi inazalishwa na wapi inapelekwa tunataka mapato ya gesi tu sio...
Kiamsingi bwana mkubwa mwaka 2005 alitaka kuweka watu wake akiamini kuwa he is the best to the post na kuumaliza mtangulizi wake ili aonekane yeye ndio mzuri. Leo hii anagundua kuwa aliowaamini ndio wamemuangusha wanagombea madaraka kama machangudoa wanavyogombea mwanaume mwenye hela. It is a...
Acheni majungu hiyo inayoitwa hoteli ya zitto hata nyota tatu haifikii ni hotel ya kawaida tu ambayo mtu yoyote aliyewekeza kidogo anaweza kupata hizo hela za kujenga.
Prof Lipumba kwa mda mrefu anajulikana na mchumi mzuri sana na hata ukimsikiliza akichambua hoja za kiuchumi kweli anajua na unapenda. Siasa za Tanzania hazina lolote na kama mpinzani hazilipi kabisa so ngoja aende kutafuta hela za maisha yake binafsi.
Hizi ama kweli ni siasa uchwara cha msingi ni hoja ya mtu sio udhaifu wa mwingine. Ndio maana siku zote nasema siasa ya bongo hazina mwelekeo wowote watu wanaacha kujadili shida za wananchi wa Igunga wanaanza kusema sijui yule ana nini na huyu yukoje.
Ingekuwa vizuri kama Kubenea angesema Msemakweli anatumiwa na nani. Naye alete ushahidi wa jinsi fedha hizo zilivyotumika ili tusome na tucheje hizo data kuliko kusema tu mtu anatumiwa. Siasa za bongo zinakuwa hazina tija hata siku hizi. tunataka ushahidi tu.
Umenena hapo, cha msingi ni kuwapa kisogo tu waache waongee yao na ukweli utajulikana tu, cha msingi mtu anapotaka shari na wewe alafu we ukawa mtulivu anakosa cha kufanya zaidi ya kujitapatapa. Mimi sioni haja yoyote ya kuzuia mijadala hii, ngoja ijadiliwe mpaka mwisho watakosa cha kuongea...
Huyu alieanzisha hiyo thread hajafanya utafiti wowote bali naona kama ana lake jambo. Hizo athari ambazoo amesema sizioni katika ukubwa wa picha anayotaka sisi tuiamini. Kama amethubutu kufanya hayo mambo ni kwamba amefikiri anaweza kwa hicho kiasi chake kama amekosea anzisha yako na uendeleze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.