Capital
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 1,452
- 1,038
na sheikh osama bin ladenkama mawazo ya waislamu ndiyo haya mtaendelea kuwa watumwa wa kina gaddafi milele,
na sheikh osama bin ladenkama mawazo ya waislamu ndiyo haya mtaendelea kuwa watumwa wa kina gaddafi milele,
MAHAKAMA YA KADHI: jamii ya watanzania tunahitaji ELIMU YA NGUVU kuhusiana na mahakama hiyo hivyo serikali iwape nafasi waislamu waelimishe jamii yetu ili watoe michngo yao kwa uelewa na siyo kutishana, wala kutukanana si vizuri la hasha!!!!!!!!!!!!!!!! watu wengi wanaonekana wanjadili lakini wanonekana hawaelewi wanachomaanisha mwisho wanishia kutusi uislamu na waislamu kwa ujumla. mimi naona hilo ni jambo la msingi lipewe nafasi wwote ni wabongo!!!!!!!!!!!!!!1
Ni dini ya upanga,ndiyo mana hawana maendeleo,na hata sadaka hawapendi kutoa kisa masheikh watafaidi,shule hawapendi kusoma,wamekalia mihadhara kuwakashifu wakristo wakati hao wakristo wameenda shule na wanamaisha mazuri sana,na wanajenga kila siku mashule,mahospitali,mavyuo.Mbadilike waislam jamani mtaacha lini kuwa na fikra mgando,na siss CCM tutaendelea kuwadanganya mpaka kesho mana nyie ndiyo wapiga kura wetu,wakristo kuwadanya kazi ndiyo mana hawatupendi
Mahakama ya kadhi haiwezi kuwa chini ya serikali alah wao anaroho mbaya sana ,atakata mikono watu!kwanza hata wakipewa kutakuwa hamna wateja utaskia hukumu mtu anachapwa viboko 80 pale posta!
Kwa kweli kuhusu mahakama ya Kadhi mimi naona Mhe. Rais yupo sahihi kabisa kusema mahakama yakadhi yaanzishwe na waislamu wenyewe na kuendeshwa nawao wenyewe.
Watu wanashindwa kulinganisha vitu kabisa, taasisi zakikiristo kupewa ruzuku ni sahihi kwasababu ya Taasisi zake ni kubwa ambazo zimebeba jukumu la serikali. Taasisi hizo baadhi yake ni Hospitali ya Bugando, KCMC, Lugarawa, Mbulu, Loliondo n.k zote hizi zinahudumia watanzania bila ubaguzi.
Mahakama ya Kadhi haiwezekani yapewe ruzuku halafu yahudumie waislamu peke yao. Angalieni sana mfano wa kristo wakanyimwa ruzuku kutoka serikalini halafu wakaamua hizo taasisi ziwahudumie wakristo tuu nyie waislamu ndio wakwanza kuumia jifikirieni marambili kuhusu haya malalamiko yenu yatawadhuru wenyewe, Ukiangalia shule ndio usiseme kabisa shule nyingi za kikiristo waislamu hawabaguliwi isipokuwa Seminari tu hivyo vyuo vikuuu vyote waislamu hawabaguliwi kabisa, Je?
Hawaoni wanafaidi ruzuku hii wanayolalamikia? Waislamu wamshukuru Mkapa kuwapa majengo ya Morogoro, inamana wasingekuwa na chuo kikuu mpaka leo. Wailamu jengeni shule zenu, jengeni vyuo,jengeni Hospitali ili mpate nanyie hiyo ruzuku.
Kulalamika hakuwasaidii wala kuandamana hakuta wasaidia hata kidogo, kulialia hakuta wasidia. Hakikisheni mnasomesha watoto wenu vizuri ili wawe na elimu yakutosha sio kualalamika kwamba mbona kwenye ajira wakristo niwengi, mbona kwenye kufaulu hamsemi wakristo wanafaulu sana?
Shule ambazo ni top ten sijawai ona ya kiislamu ktk topten ya waliofaulu unakuta waislam wawili ama wawatatu halafu unataka nakwenye ajira wawe sawa ebu fanyeni jitihada ktk ufaulu mzuri wa shule za kiislam. Nimekaa sana pale Arusha ktk Mkoa wa Arusha shule ya Bondeni inayomilikiwa na Waislamu ndio shule inayodharaulika kuliko zote. Sasa ebu fanyeni kazi kuhakikisha shule zenu ziwepo kwenye topten. Kulalamika hakuta wadaidia milele.
Kulingana na sheria za kiislaam ndoa hiyo haitambuliwi hivyo itahukumiwa ktk korti za kawaida kama ilivyokuwa awali...hii mahakama itahukumu vipi ndoa ambayo mume ni mkristo na mke muislam au mume muislam na mke mkristo? itahukumu vipi mirathi kwa ndoa za aina hiyo niliyotangulia nayo hapo, sababu ni kwa ajili ya waislamu tu
Hapana mkuu wangu haijaisha isipokuwa inatakiwa kuweka vitu sawa badala ya kuacha nusunusu ili mradi hoja ni kuelimishana, tuache matusi.hii hoja imeshafungwa kitambo sasa cha kuongea ni nini hapa. Tufikiria mengine not this anymore.
<br />hii mahakama itahukumu vipi ndoa ambayo mume ni mkristo na mke muislam au mume muislam na mke mkristo? itahukumu vipi mirathi kwa ndoa za aina hiyo niliyotangulia nayo hapo, sababu ni kwa ajili ya waislamu tu
<br />Hivi kwa nn nyie wagalatia mnaumia sana kuhusu hii mahakama? kenya ipo chini ya selikali hata uganda pia so why TZ?