VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
kwa kadri hizi tuhuma zinavyozidi kupingwa ndivyo vinaongezewa ukweli, PR wa kilimanjaro hana access na raisi wetu? kweli?
hajui kishwahili so? kwani marakani wanaongea kishwahili? hawa jamaa wanajua wikileaks walikotoa hivi taarifa kweli?
au wanatumia TEMPLET kujibu tuhuma nzito kama hivi
hajui kishwahili so? kwani marakani wanaongea kishwahili? hawa jamaa wanajua wikileaks walikotoa hivi taarifa kweli?
au wanatumia TEMPLET kujibu tuhuma nzito kama hivi