Ni vema tufike shambani tuone then upate bajeti nzima kulingana na mahitaji yako,lakini kwa makadirio ukiwa na pampu gharama za mfumo wa umwagiliaji wa matone inakuwa chini ya milioni na nusu kwa project yako.
Kuna mdau yupo Arusha anafanya blogging anafanya kazi ya kupokea malipo ya paypal km account yako haina access ya withdraw kwa Tanzania. Njoo PM nikuunganishe nae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.