Ukimwacha usioe tena ni yaleyale tu wanatofautiana kidogo sanaaaaWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa.
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwingine kama mke wa pili.
Niko hapa nikitizama jinsi malaika wa kiume hapa duniani wakilalamika yaani wanaune woote wamegeuka malaika.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Safi sana. Kuliko ungemuacha ukapata case mbaya mkuuNishafukuza mda tu sahivi yupo kwao huko
Ashapandishwa mkuu mleta mada yupo safarin UCHAGANI kuongeza jikoMpandishe cheo awe Mke Mkubwa
Safi kabisa!!Ashapandishwa mkuu mleta mada yupo safarin UCHAGANI kuongeza jiko
Huyo mwanamke wako ni mental case. Hayo sio mapungufu bali ni ukichaa uliotukuka. Kuna watu wameoa vichaa kabisa ila ni kwa vile hawaoneshi vimbwanga hadharani ni ngumu kuwatambua hadi uishi nao kama kuvunja vunja vitu ni tabia za kichaa kabisa.Mchaga.....Mimi nashangaa sana unajua wachaga hawanaga gubu wala kiburi kabisa huyu ni sample ya tofauti kabisa
Huyo mwanamke sio jeuri bali ni kichaa. Kwenye huu uzi hakuweka mambo hadharani ila baada ya kumfanya EX ndio nimeelewa vizuri sasa big up kimsboy kwa kuachana na mwendawazimu na kuoa mtu timamu.Hakuna mwanamke jeuri mbele ya mwanaume mwenye upendo
Kunawa mkojo ni kila siku?chukua asali na sukar chukua karatasi andika jina la mume ama mkeo hiv
mm nataka unipende unijali unifurahishe kwenye shida na raha mpaka kufa chukua sukari na asali fungasha ndan nenda kwenye godoro unalolalaa pasua katikati pembeni weka kwa ndani hio karatasi kila ukiamka asbh kama ni mume ama mke ukiwa pekeyako chukua mkojo wa kwanza asbh kabla ujala ama kunywa kitu nawa mikono sema wewe shetwani nakuondoa mwilini mwangu nataka kama n mke unamtaja mumeo anipende anijali kwa siku saba
nipe mrejesho mkojo uwe wa kutosha kunawa mikono yote
SIKU SABA MKUU KAMA WE N MKE AKIKISHA UKINAWA MUME AYUPO NDAN UNAUNENA KAMA N VVSKunawa mkojo ni kila siku?