Kumbe unamfahamu Abunuwas, Inasikitisha sana kwa kizazi cha leo cha vijana wa kitanzania, kwa kweli wanasafari ndefu, wakati wenzao wanapambana katika elimu na maarifa, kizazi chetu kimebaki kupambana katika kubet, na ujuaji wa kwenye mitando ya kijamii pasipo kutafuta uhakika wa taarifa na...
Wapi katika dunia hii mtu mweusi ana thaminika kama sio nchi yake ya asili, endelea kujidanganya na kudanganya wajuaji wenzako kwamba mkienda Ulaya mtaheshimiwa na kubembelezwa,
Ni vyema, ungeanza wewe kutushawishi kulima kwa kuonyesha kwa vitendo umefanikiwa wapi kwa kilimo hicho na unafanya wapi harakati zako za kilimo! watanzania tutaendelea kuwa watazamaji wakati wenzetu wanapiga hatua na kuendeleza nchi zao! Kenya inapeleka wafanyakazi wengi sana katika nchi hizo...
Yale yale wapi katika " kwenye chritian civilization weak are protected? even hapo mnapopaita Vatican, only the powerful cardinal are only who make decisions on direction that church should follow!
Mayala ndugu yangu usipate taabu kushindana na wajinga, hata umweleze nn hataki kuelewa kwa sababu tu hataki, anafahamu profile ya Rostam Aziz? au kwa kuwa anaona anatoka Tanzania basi anaona wanalingana! hili ndio tatizo kubwa linalokabili watanzania, halafu ukute huyu ndio wale vijana taifa...
Tatizo sio ukubwa au udogo wa nchi, tatizo ni uwezo wa kufikiri nakufanyia kazi mawazo yako, hii ndio akili tunayoitaka! Israel ni ndogo sana, lakini umoja wa Waarabu umemshindwa pamoja na wingi wao!
Duu haya moisha bana, yaani jamaa pamoja na fedha zake zote alikuwa anaishi kama njiwa, mara Tabata kwa watoto kusalimia, mara Tegeta kulala, sas kuna haja gani yakuwa na fedha kama huna amani na kuishi kwa starehe na watoto wako?
naona hapo ndio uelewa wako unapoishia, endelea kuandika hivyo utafika mbali, ninarudia utabaki kulalamika na kuandika upuuzi huu wakati wenzio wanatengeneza fedha na wanapaa!,
JF Expert? or non sense, "matako kufikiri, " akili ina usaha" "wewe mpuuzi" ongeze mengine ndio uwezo wako huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.