fundi radio
Member
- Apr 2, 2023
- 45
- 95
Kwa Hapa nchini Tanzania ambayo Ili kuwa na mfumo wa kijamaa, kutoka TANU mpaka CCM.
CCM Bado Ina urafiki na nchini ambazo zilikuwa na mfumo wa kijamaa kama washirika wake wakaribu. Na china (ujamaa) inaitumia fursa hiyo vizuri sana,Kwa kujiweka karibu sana na viongozi waandamizi wa chama tawala (CCM).
Hali ni tofauti Kwa nchi za magharibi (kibepari) wao wakiwa na urafiki wa watu wa Chache kwenye chama tawala na wa vyama vya upinzani,
lakini China ina mafungamano ya karibu sana na chama tawala kiasi Cha kuwa na ushawishi mkubwa.
Kisiasa:
Mafungamano hayo :
I) chama tawala Cha china Kila mara kime kuwa kikitoa misaada ya kifedha na rasilimali mbalimbali Kwa ajili ya Chama Cha CCM.
ii) chama tawala cha china kimekuwa kikitoa mafunzo ya kiutawala na uongozi Kwa viongozi mbalimbali wa chama Cha CCM. (scholarship).
iii). Na Sasa wamejenga chuo Cha uongozi hapa nchini Tanzania, bila shaka kwenye hayo masomo ya uongozi yatakuwa yameandaliwa na Serikali ya China Kwa Falsafa za kijamaa zaidi, ya chama kimoja kutawala pekee.
Ni Bora wangeongeza masoma kama ujasiriliamali, uchumi wa kijani,bluu,tehama Katika utumishi, diplomasia, Ili kuleta tija Kwa viongozi wanao tahiniwa.
iv). China kuisadia Tanzania kwenye maswala ya ulinzi na usalama.
Je nchi yetu inahitaji sera za kijamaa ,(chama kimoja), Ili iweze kujiletea maendeleo?
HAPANA, Tanzania inahitaji viongozi watakao fanya kazi Kwa moyo wa dhati kabisa ikiwa pamoja na kusimamia katiba na Sheria za nchi yetu.
a). China kuandaa viongozi watakao kuwa na falsafa za kijamaa zitakazo wasaidia kuwa karibu na viongozi wa chama tawala, kumbuka siku zijazo ,hato chaguliwa kiongozi wa CCM ila awe amepitia kwenye hicho chuo.
Matokeo ya china kujiweka karibu sana na viongozi wa sekretaiti ya Chama tawala (NEC), kama ifuatavyo
Kiuchumi.
Kandarasi za ujenzi wa barabara,madaraja, majengo makubwa, kandarasi za miundombinu ya nishati, ulinzi Kwa asilimia kubwa anachukua china.
Mzunguko wa fedha za kigeni zinaangukia mikononi mwa china.
Fedha za mikopo nafuu Kwa ajili ya Miradi ya maendeleo kutoka IMF, world Bank, UK, AFDB, ufaransa, EU , kandarasi zote anapewa China,
Kumbuka hizi nchi wafadhili wana viwanda vyao na mitaji huko nchini china .
ambapo baadae tunauziwa bidhaa kutoka china, Na Bado Tena china anachukua kandarasi zote za Hawa wafadhili Kwa hiyo mzunguka wa fedha za kigeni unazungukia upande wa china pekee.
Na kupelekea china kupata faida maradufu , Yani (super profit)🤑
Changu changu chako changu (win win)
Ni tofauti na nchi za magharibi mfano USA, UK, EU wanapotoa misaada, wanazipa fedha Serikali kuu au kuanzisha programu za maendeleo ya jamii nchini.ili kuleta uchumi jumuishi kwenye jamii.
Serikali ya China ikitoa misaada ya kifedha Kwa ajili ya maendeleo asilimia zaidi ya 95% ataitekeleza yeye mweyewe, Kwa hiyo mzunguko wa fedha bado unabaki upande wake TU yani.
Mfano mradi wa Bomba la gesi la mtwara mpaka dar es salaam,china alitoa mkopo wa takribani Dola bilioni $ 1.2, na akautekeleza yeye mweyewe na kutuachia deni lenye riba , ambayo sisi raia hatuijua hilo deni Kwa Sasa limefikia kiasi Gani.
Gesi inapita kwenye hiyo Bomba bado haitumiki kikamilifu , kwenye kuzalisha umeme wa kutosheleza nchini, pia gesi ,bado hatujaanza kuunza nje ya nchi , Kwa hiyo bado tuko kwenye hasara kubwa.
Ulanguzi
Kuwekeza kwenye kamari, mpaka vijijini watu wanatapeliwa ,na Serikali inakaa kimya, huu ni uwekezaji Gani wahovyo namna hii, walalahoi na wavuja jasho na wapiga kura wa Chama tawala ,wanakamuliwa mpaka senti zao za mwisho.
Faida inayopatikana mfano ikiwa ni laki mchina anachukua zaidi ya asilimia 90%, fikiria Kwa jiji la dar mchina anakusanya maokoto kiasi gani Kwa mwezi.🤑
Kwanini wasianzishe miradi mbalimbali ya kilimo ambayo yana mahitaji nchini kwao kama, muhugo,mtama, nyama ya nguruwe , na Kila upande uka faidika (win win).💪
Kukamatwa Kwa raia wa China wakijihusisha na uuwaji wa tembo na faru na usafirishwaji wa meno ya tembo, pembe za ndovu, na pembe za faru nje ya nchi,
bila Shaka waliona Tanzania ni shamba la Bibi, je waliwezaje kufanikisha kufanya huu ujambazi Kwa kiasi kikubwa hicho na Kwa muda mrefu,
bila vikosi vya usalama kujua, mpaka zilivyoanza kelele za Taasisi za kimataifa kuhusu ujangili , Ndio Serikali ikaamua kujitutumua kuondoa aibu.
Huku Wenzao USA, UK EU, wakitoa misaada Kwa ajili ya kulinda wanyama pori na hifadhi zake.
Je hii ni ( win win) au (janja janja)?
Kutokuwepo Kwa makubaliano ya kibishara ya kimkakati ya maendeleo Kwa muda mrefu.
Mfano wa (win win) (janja janja) hii sio mkataba bali ni makubaliano TU ya kirafiki (mtego) ya kufanya Biashara baina ya nchi mbili Kwa makubaliano Fulani.
Ambapo Kila nchi Inakuwa na uhuru wa kufanya Biashara.
Kwa hiyo mwenye kisu kikali ndio atakaye kula nyama, hii ilipelekea mpaka wachina wakaja kuuza yeboyebo kariakoo,
Ila Kwa sisi wa Tanzania hatuna uwezo na Bidhaa za kutosha za kuuza China.
Ni tofauti na AGOA wa USA ,ni mkataba wa makubaliano rasmi inaoeleweka kimkakati baiana ya nchi husika,
mfano mkataba wa AGOA , ambapo Tanzania iliridhia kusaini na kupata fursa ya kuuza mazao yake ya chakula na Bidhaa zingine bila ushuru wa forodha kwenda nchini marekani.
Je kwanini mpaka leo Tanzania hatuja Saini mkataba wa EPA?
Je china Yuko nyuma yake kuzuia EPA isisainiwe, maana Yuko karibu na viongozi wa chama tawala.
Maana wanajua Kama Tanzania tukisaini mkataba wa EPA, watanzania watanunua kwa wingi,Bidhaa za ulaya ambazo zinaaminika Kwa ubora duniani, na China kukosa soko la kuuza Bidhaa zake.
Kulingana na repoti ya wizara ya fedha ya mwaka 2022, deni la China nchini Tanzania lilifikia Dola bilioni 11.6,ikijumuisha mikopo ya kibiashara na maendeleo.
Ushauri:
Ndugu zetu washirika wa maendeleo USA, UK, EU, IMF and world Bank, mnapotoa misaada Kwa ajili ya maendeleo nchini Tanzania,itekelezeni wenyewe na Serikali pasipo nchi nyingine, katikati (third party) kuja kuikamilisha hiyo Miradi.
Pia Chama tawala kisiegemee upande mmoja TU, upande ambao anapata kuungwa mkono Kwa chama kimoja kutawala, ukiukwaji wa haki za binadamu na demokrasia , mizania ikae sawa.
CCM Bado Ina urafiki na nchini ambazo zilikuwa na mfumo wa kijamaa kama washirika wake wakaribu. Na china (ujamaa) inaitumia fursa hiyo vizuri sana,Kwa kujiweka karibu sana na viongozi waandamizi wa chama tawala (CCM).
Hali ni tofauti Kwa nchi za magharibi (kibepari) wao wakiwa na urafiki wa watu wa Chache kwenye chama tawala na wa vyama vya upinzani,
lakini China ina mafungamano ya karibu sana na chama tawala kiasi Cha kuwa na ushawishi mkubwa.
Kisiasa:
Mafungamano hayo :
I) chama tawala Cha china Kila mara kime kuwa kikitoa misaada ya kifedha na rasilimali mbalimbali Kwa ajili ya Chama Cha CCM.
ii) chama tawala cha china kimekuwa kikitoa mafunzo ya kiutawala na uongozi Kwa viongozi mbalimbali wa chama Cha CCM. (scholarship).
iii). Na Sasa wamejenga chuo Cha uongozi hapa nchini Tanzania, bila shaka kwenye hayo masomo ya uongozi yatakuwa yameandaliwa na Serikali ya China Kwa Falsafa za kijamaa zaidi, ya chama kimoja kutawala pekee.
Ni Bora wangeongeza masoma kama ujasiriliamali, uchumi wa kijani,bluu,tehama Katika utumishi, diplomasia, Ili kuleta tija Kwa viongozi wanao tahiniwa.
iv). China kuisadia Tanzania kwenye maswala ya ulinzi na usalama.
Je nchi yetu inahitaji sera za kijamaa ,(chama kimoja), Ili iweze kujiletea maendeleo?
HAPANA, Tanzania inahitaji viongozi watakao fanya kazi Kwa moyo wa dhati kabisa ikiwa pamoja na kusimamia katiba na Sheria za nchi yetu.
a). China kuandaa viongozi watakao kuwa na falsafa za kijamaa zitakazo wasaidia kuwa karibu na viongozi wa chama tawala, kumbuka siku zijazo ,hato chaguliwa kiongozi wa CCM ila awe amepitia kwenye hicho chuo.
Matokeo ya china kujiweka karibu sana na viongozi wa sekretaiti ya Chama tawala (NEC), kama ifuatavyo
Kiuchumi.
Kandarasi za ujenzi wa barabara,madaraja, majengo makubwa, kandarasi za miundombinu ya nishati, ulinzi Kwa asilimia kubwa anachukua china.
Mzunguko wa fedha za kigeni zinaangukia mikononi mwa china.
Fedha za mikopo nafuu Kwa ajili ya Miradi ya maendeleo kutoka IMF, world Bank, UK, AFDB, ufaransa, EU , kandarasi zote anapewa China,
Kumbuka hizi nchi wafadhili wana viwanda vyao na mitaji huko nchini china .
ambapo baadae tunauziwa bidhaa kutoka china, Na Bado Tena china anachukua kandarasi zote za Hawa wafadhili Kwa hiyo mzunguka wa fedha za kigeni unazungukia upande wa china pekee.
Na kupelekea china kupata faida maradufu , Yani (super profit)🤑
Changu changu chako changu (win win)
Ni tofauti na nchi za magharibi mfano USA, UK, EU wanapotoa misaada, wanazipa fedha Serikali kuu au kuanzisha programu za maendeleo ya jamii nchini.ili kuleta uchumi jumuishi kwenye jamii.
Serikali ya China ikitoa misaada ya kifedha Kwa ajili ya maendeleo asilimia zaidi ya 95% ataitekeleza yeye mweyewe, Kwa hiyo mzunguko wa fedha bado unabaki upande wake TU yani.
Mfano mradi wa Bomba la gesi la mtwara mpaka dar es salaam,china alitoa mkopo wa takribani Dola bilioni $ 1.2, na akautekeleza yeye mweyewe na kutuachia deni lenye riba , ambayo sisi raia hatuijua hilo deni Kwa Sasa limefikia kiasi Gani.
Gesi inapita kwenye hiyo Bomba bado haitumiki kikamilifu , kwenye kuzalisha umeme wa kutosheleza nchini, pia gesi ,bado hatujaanza kuunza nje ya nchi , Kwa hiyo bado tuko kwenye hasara kubwa.
Ulanguzi
Kuwekeza kwenye kamari, mpaka vijijini watu wanatapeliwa ,na Serikali inakaa kimya, huu ni uwekezaji Gani wahovyo namna hii, walalahoi na wavuja jasho na wapiga kura wa Chama tawala ,wanakamuliwa mpaka senti zao za mwisho.
Faida inayopatikana mfano ikiwa ni laki mchina anachukua zaidi ya asilimia 90%, fikiria Kwa jiji la dar mchina anakusanya maokoto kiasi gani Kwa mwezi.🤑
Kwanini wasianzishe miradi mbalimbali ya kilimo ambayo yana mahitaji nchini kwao kama, muhugo,mtama, nyama ya nguruwe , na Kila upande uka faidika (win win).💪
Kukamatwa Kwa raia wa China wakijihusisha na uuwaji wa tembo na faru na usafirishwaji wa meno ya tembo, pembe za ndovu, na pembe za faru nje ya nchi,
bila Shaka waliona Tanzania ni shamba la Bibi, je waliwezaje kufanikisha kufanya huu ujambazi Kwa kiasi kikubwa hicho na Kwa muda mrefu,
bila vikosi vya usalama kujua, mpaka zilivyoanza kelele za Taasisi za kimataifa kuhusu ujangili , Ndio Serikali ikaamua kujitutumua kuondoa aibu.
Huku Wenzao USA, UK EU, wakitoa misaada Kwa ajili ya kulinda wanyama pori na hifadhi zake.
Je hii ni ( win win) au (janja janja)?
Kutokuwepo Kwa makubaliano ya kibishara ya kimkakati ya maendeleo Kwa muda mrefu.
Mfano wa (win win) (janja janja) hii sio mkataba bali ni makubaliano TU ya kirafiki (mtego) ya kufanya Biashara baina ya nchi mbili Kwa makubaliano Fulani.
Ambapo Kila nchi Inakuwa na uhuru wa kufanya Biashara.
Kwa hiyo mwenye kisu kikali ndio atakaye kula nyama, hii ilipelekea mpaka wachina wakaja kuuza yeboyebo kariakoo,
Ila Kwa sisi wa Tanzania hatuna uwezo na Bidhaa za kutosha za kuuza China.
Ni tofauti na AGOA wa USA ,ni mkataba wa makubaliano rasmi inaoeleweka kimkakati baiana ya nchi husika,
mfano mkataba wa AGOA , ambapo Tanzania iliridhia kusaini na kupata fursa ya kuuza mazao yake ya chakula na Bidhaa zingine bila ushuru wa forodha kwenda nchini marekani.
Je kwanini mpaka leo Tanzania hatuja Saini mkataba wa EPA?
Je china Yuko nyuma yake kuzuia EPA isisainiwe, maana Yuko karibu na viongozi wa chama tawala.
Maana wanajua Kama Tanzania tukisaini mkataba wa EPA, watanzania watanunua kwa wingi,Bidhaa za ulaya ambazo zinaaminika Kwa ubora duniani, na China kukosa soko la kuuza Bidhaa zake.
Kulingana na repoti ya wizara ya fedha ya mwaka 2022, deni la China nchini Tanzania lilifikia Dola bilioni 11.6,ikijumuisha mikopo ya kibiashara na maendeleo.
Ushauri:
Ndugu zetu washirika wa maendeleo USA, UK, EU, IMF and world Bank, mnapotoa misaada Kwa ajili ya maendeleo nchini Tanzania,itekelezeni wenyewe na Serikali pasipo nchi nyingine, katikati (third party) kuja kuikamilisha hiyo Miradi.
Pia Chama tawala kisiegemee upande mmoja TU, upande ambao anapata kuungwa mkono Kwa chama kimoja kutawala, ukiukwaji wa haki za binadamu na demokrasia , mizania ikae sawa.