Yaani tukizungumzia maendeleao ya barabara,tunamzungumzia magufuli yaani jamaa ni mchapa kazi sana,kila wizara unayopelekwa unang'ara,nyota yako haifichiki,baba ningekuwa ninateua nani agombee urais mwaka 2015 ningekuteua na kura ushindi wa chama cha ccm ungekuwa asilimia 90