Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Pombe ni bonge la waziri.
Mandela Road panachimbika.
Inapigwa lami kama ile ya Nyerere Road wanakopita mafisadi na misafara.
Sambamba na hilo, nguzo za taa mpya za barabarani (kama zile za Sam Nujoma zinasimikwa).
Kubwa zaidi junction ya Tabata na Mandela Road inapigwa taa za kuongozea magari.
Pombe anatisha.
Hii si credit kwa CCM. (CCM majungu tu. Bila Mkapa Pombe na Dr. Mwakyembe wasingepewa wizara moja. Au Mwakyembe asingekuwa NW.)
Ni credit kwa Pombe mwenyewe, na credit kwa Mzee wa 'Kokoto'. Aliyemteua Pombe kuwa waziri wa ujenzi.
Mkwere alikuwa na baraza lake la kupongezana, mzee wa Kokoto akalipangua.
Mandela Road panachimbika.
Inapigwa lami kama ile ya Nyerere Road wanakopita mafisadi na misafara.
Sambamba na hilo, nguzo za taa mpya za barabarani (kama zile za Sam Nujoma zinasimikwa).
Kubwa zaidi junction ya Tabata na Mandela Road inapigwa taa za kuongozea magari.
Pombe anatisha.
Hii si credit kwa CCM. (CCM majungu tu. Bila Mkapa Pombe na Dr. Mwakyembe wasingepewa wizara moja. Au Mwakyembe asingekuwa NW.)
Ni credit kwa Pombe mwenyewe, na credit kwa Mzee wa 'Kokoto'. Aliyemteua Pombe kuwa waziri wa ujenzi.
Mkwere alikuwa na baraza lake la kupongezana, mzee wa Kokoto akalipangua.