View attachment 41864 hapa wapo wengine wenye laaana
laana au utamu?
Hivi kuna audience hapo mbele yake kweli?
Au alikuwa anafanya zoezi akiwa na wapambe zake kabla ya onyesho!
Kama kuna watu mbele yake, basi wote ni wapambaaf!
Labda walikuwa binadamu wa jinsia ya kike!siku hiyo ukumbi ulijaa hadi wengine wakazuiliwa kuingia. watu waliokuwepo hawakuwa wapambaaf, walikua ni binadamu kama wewe. over
huyu ni afande sele siku ile ya mpambano kati ya wanaume tmk(wakina temba) na wanaume halisi(wakina sir nature) pale dimond.mia
"hiyo mibangi wanayovuta ni stimu za kulanduka...kama sio fani yako kwa kweli utaumbuka".........by sir nature...wimbo sikumbuki.