Heri anayesema , siku moja ndoto yake itatimia. Kubadilisha mfumo ni kazi lakini huo ni mwanzo mzuri. Kenya mbona wameweza.
Mpwa yapo mbona? nilikua wilaya mpya ya Kilindi nikalikuta huko linatumiwa na mkurugenzi... yaani hata halina maana kwani sehemu yenyewe inahitaji bajaj au labda landrover sio dude ambalo hakuna hata anayelielewa!hana akili hakuna wilaya yenye v8,v8 zipo serikali kuu na wakuu wa mikoa karibu wote wanazo,makatibu makamishna mawaziri wanayo.
ur right bro.Kwa wastani kila halmashauri Ina V8 tatu, zidisha mara halmashauri 133, zidisha mara Tsh 280.000.000. Tuchukulie maintanence kila quarter pamoja na kupeleka DSM kwa service ni Tsh 700,000 wastani, zidisha tena mara 3, zidisha mara halmashauri 133, zidisha mara quaerters 4 kwa mwaka.
Bado hapo hujapiga hesabu magari mengine ndani ya kila halmashauri
bado hapo hujaweka hesabu ya dereva kupiga nyoka, kuuza tairi na spear!
Vehicles are monsters in our councils!!!!
Mpwa yapo mbona? nilikua wilaya mpya ya Kilindi nikalikuta huko linatumiwa na mkurugenzi... yaani hata halina maana kwani sehemu yenyewe inahitaji bajaj au labda landrover sio dude ambalo hakuna hata anayelielewa!hana akili hakuna wilaya yenye v8,v8 zipo serikali kuu na wakuu wa mikoa karibu wote wanazo,makatibu makamishna mawaziri wanayo.
Chanzo: Taarifa ya habari Star tv saa mbili usiku. Badala yake wanunue Hardtop. Hivi tofauti ya bei ya VX na Hardtop ni sh ngapi? Kama zoezi hili kweli likitekelezwa atakuwa ameokoa sh ngapi?