Maria Roza
JF-Expert Member
- Apr 1, 2009
- 6,797
- 1,567
Inasikitisha sna wanaume mkipata mafanikio kidogo bas na wake mnabadilisha:redfaces::redfaces::redfaces:
Inasikitisha sna wanaume mkipata mafanikio kidogo bas na wake mnabadilisha:redfaces::redfaces::redfaces:
mmmhhh, namfowadia waziri wa elimu na kova wakukamate, huwezi kutuharibia vidogo vyetu namna hii, siku ile alipoondoka home alikua amevaa kinguo icho icho na akasema anaenda tution, sasa ndo tuition yenyewe hiyo jamani? Tena alirudi amechoka kweli na hakutaka kuongea na mtu, sijui ulikapa mvinyo!!
tena kweli maana hata mtume wa waislamu alioa kitoto cha miaka 9 sasa pengine jamaa hiyo ni suna
ya mwamed
yaani we binti toka tuachane club ndo umempata huyo babu c uliniambia hauna mume
Huyo wa katikati ktk mademu ni 'MPOKI' pededje wa kuchonga wa Origina Komedi?
HahahahahahaThe ghost and the beauty.......