Mbona lady jaydee huwa hakati viuno na mpaka leo hana mtoto hata shoo yajuzi mlimani city hakukata kiuno na huwa anasema kabisa hawezi kukata kiuno yeye kipaji chake ni kuimba tu kucheza hawezi
Acha kukariri ww mbona mwarami na eden walikua wanafundisha vizuri tuition ya maths kule mchikichini na hawakusoma hata ualimu sasa ndio hao watoto wa udom waje kushindwa kuwa walimu wazuri na ikiwa walifaulu vizuri hayo masomo ya sayansi yani hapo serikali imechemsha kuwakatisha masomo hao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.